KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
it is her hustle man,respect her hustle,it is her money!mind your damn manhood family responsibilities! cc Mentor my english course sponsor to amazon college here in brazilMshahara wangu 1.1M, wa mke wangu 1.7M ila kila kitu nagharamia..... She don't bother
Hebu nipe namba yake niweze kumshauri namna nzuri ya kukusaidia majukumu, binafsi sijakubaliana kbs na namna anavyofanya.Mshahara wangu 1.1M, wa mke wangu 1.7M ila kila kitu nagharamia..... She don't bother
Hebu nipe namba yake niweze kumshauri namna nzuri ya kukusaidia majukumu, binafsi sijakubaliana kbs na namna anavyofanya.
Kuna wengine tumetulia lakini mnatuchuna kama kawa.tatizo lenu hamjatulia ! unadhani ni shida kumnunulia mtu wako boxer au soksi za mchina? kwani shiling ngapi? au kumpa mashuka mazuri na mito mizuri .tunaweza kuwanunulia tatizo ndo hivo hamjatulia tu kaka zenu watu wanaona bora wawachune tu.mkufu bandia ukitoa hela bandia kuna shida?
Mr opportunist on fleek!Hahaha. Umetisha sana, Mr Counsellor.
sijawai kuona mimiKuna wengine tumetulia lakini mnatuchuna kama kawa.
Na vimisemo vyenu vya hovyo ooh yule nishamtuliza katulia hakohoi wala nini nikipumua tu hela hiyo.
Mara hana pa kwenda kashikika vilivyo nikisema nataka hiki naletewa siku hiyo hiyo.
Mara ujifunge kanga yenye maandishi kuwa mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na IPhone 7 bila power bank.
Hivyo vimaneno vyenu nyie dadaz vinakera sana mpaka mtu anaamua kuchepuka ili kukuonesha kuwa wewe si kitu.
Kweli?sijawai kuona mimi
Mkuu pasipo kufukuzia fursa kama hizi mjini unaweza kujikuta unalala njaa bila sababu zozote za msingi, watu tuna kazi zetu muhimun km hizi lkn hatutafutwi wakati mpaka mhuri ninao kbs.Hahaha. Umetisha sana, Mr Counsellor.
Aisee Hongera sanaHakuna universal formula ya financial relationship.Each couple has its own unique financial scheme they agree upon. Mfano mimi napenda sana design na viatu vya kiume. Haipiti miezi miwili bila kumnunulia boyfriend wangu viatu hasa kama ni pure leather.Ninapenda sana naye anafurahia mno kiasi kwamba hajuagi kununua viatu vyake! Naye kuna vitu anapendaga sana kuninunulia - necklaces, ear rings etc etc.
Mimi nimetulia misstatizo lenu hamjatulia ! unadhani ni shida kumnunulia mtu wako boxer au soksi za mchina? kwani shiling ngapi? au kumpa mashuka mazuri na mito mizuri .tunaweza kuwanunulia tatizo ndo hivo hamjatulia tu kaka zenu watu wanaona bora wawachune tu.mkufu bandia ukitoa hela bandia kuna shida?
Hakuna universal formula ya financial relationship.Each couple has its own unique financial scheme they agree upon. Mfano mimi napenda sana design na viatu vya kiume. Haipiti miezi miwili bila kumnunulia boyfriend wangu viatu hasa kama ni pure leather.Ninapenda sana naye anafurahia mno kiasi kwamba hajuagi kununua viatu vyake! Naye kuna vitu anapendaga sana kuninunulia - necklaces, ear rings etc etc.