Ladies, let’s do the real talk...

Una akili kinoma, akili yako ina ukomavu.
 
Kikubwa kupendana tu haijalishi ana mali au hana mali. Unasema naenda kucontribute nini? Yeye hadi anakuja kunitaka atakuwa anahitaji nini? Mpaka akataka mahusiano basi kuna kitu ameona kinapungua katika maisha yake...hicho ndio nitakachocontribute
Hujaelewa hoja yake umejibu kishabikia tu , jitazame wewe kama wewe sio tena yeye mpaka amekuja kwako anahitaji nini, anaweza kukutaka ili akutumie tu au kukufanya kitumizi chake tu ... Mnatakiwa muwe na akili kama ya mtoa mada, big up kwake
 
Thers always a price to pay...weng tunawajua mnakuja kwetu kwasabab ya maisha....infact we know that already...

Kwahyo

Huwez hata sku1 nikuta that well halaf ukawa pekeyako..mwanamke tambua hilo

I ll just pretend all the way....kwenye hyo journey ya mapenz.lakin kaa ukijua hauko peke yako sabab wanaotaman hzo vtu mko weng...n by the way...tha ratio ya nyie na sisi kama unavyojua...nyie mko weng
 
Wanawake na drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanaume akiwa na kila kitu anakuwa sokoni yaani pale wanawake wote wenye tamaa za kipuuzi puuzi wanamuwinda hii ni sawa na mwanamke mzuri sana mara nyingi unakuta benz zinasimama kutongoza hawa watu uwaga na mtazamo flan hivi wa kipekee sio wote lakini.

ILA sikushauri uanze na mwanaume maskini kutafuta maisha kama unajijua una dharau maana wengi wenu wadada unakuta anaishi na mwanaume maskini kuanzia chini kidharau dharau,kimasimang’o halafu eti mwanaume akishika hela anatarajia ataendelea kuvumilia dharau zake,NEVER.Kama huwezi kuishi na mwanaume maskini kwa kumuheshimu achana nae mapemaaaaaa maana akishika hela atakubadilikia mpk ushangae...

Note:wanawake mjue kbs ni wanaume wachache sana utawanyanyasa wakiwa na hela hivyo kuwa makini na mwanaume ambaye yupo stable,mnyanyase akiwa hana kitu akipata ndugu yangu naomba heshima irudi kwa kishindo.Utakuja kulalamika humu mwanaume nimemvumilia akiwa hana hela kapata ananidharau,ULIKUWA UNAISHIJE NAE kipindi hana hela????????????????????mwanaume hana kazi utasikia yaani wewe umekAa kaa tu sijui ht km unhangaika kutafuta kazi, unadhani kazi zitakufuata.Maneno hayo unamwambia mwanaume ambaye sh kumi hana,ana njaa na stress za kutosha sasa apate kazi endelea na kauli zako za bila mimi uzingefika hapo,nimekuvumilia sana na taka taka nyingine,utapigwa matukio mpk ukome[emoji3525][emoji3525][emoji3525]

Kila utakalo msimanga mwanaume asiye na pesa ujue kbs mwenzako anawaza dharau hizii sababu anaona sina pesa.Ogopa sana hiyo attitude...
 
Umenena vyema sana madame hasa hapo mwishoni. Sio mdada unakuta kila kitu ndio kwanza unaanza mipango ya kumtanguliza mwenye mali zake, unaanza kuchukia ndugu zake wakati hao ndio waliokuwepo kwenye safari yake ya mafanikio plus kutapanya mali na ndugu zako na kuhonga viben ten
 
Somtyms kumkuta mwanaume kajipanga ni shida wengi wao wana vibur maana hukuwepo alipokua akihangaika kutafuta so anaweza kukuchulia poa tu

Lakini pia kuanza maisha na mwanaume akiwa Hana kitu hakufanyi akuthamini Kwa vile nmeanza wote tumeshuhudia wengi wakiumizwa na watu waliotoka nao chini baada ya kufanikiwa
Cha muhimu upendo wa dhati tuu
 
Kabisaa...unataka tuamini hii chai...
 
Well said
 
Word
Na wengi waliokuta mali wameharibu familia za watu, wamechonganisha, halafu mwosho wa siku wamevuna wakaondoka
 
Safi sana Carleen, yani kama mtu unataka mume, just look for someone ambae mnaweza kuanza maisha pamoja, sio mtu ambae unaende kudandia maisha ambayo alishajenga foundation siku nyingi

Sema wadada wa kibongo hii theory ilishawashinda
 
Ila yeye hajakupotezea muda? nakati kama raha mlikuwa mnapata wote.

Hongera kwa kufanya maamuzi magumu ya kumuacha, lakini mchepuko siyo dili baki njia kuu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
U sound selfish...
 
Wewe una akili.

Nb
Ukikutana na mwanamke jina lake la kwanza linaishia na leen MF Carlen, Maureen etc hana akili au havutii kwa umbo, hana akili za darasani au za maisha, siyo mpole , hayupo humble please piga simu polisi au Rita atakuwa kafoji jina huyo
 
Mwanamke hajui kubadilisha oil ya gari, hajui kuendesha semi-trailer, hajui kusafisha bunduki, hajui kutegua bomu la nyuklia.... Hajui kupigana na predator.

Huyo mwanamke me wa kazi gani..... Si bora ni bakie pekee yangu.
 
Mwanamke hajui kubadilisha oil ya gari, hajui kuendesha semi-trailer, hajui kusafisha bunduki, hajui kutegua bomu la nyuklia.... Hajui kupigana na predator.

Huyo mwanamke me wa kazi gani..... Si bora ni bakie pekee yangu.
Hajui hata kurusha RPG wa kazi ganiii😂😂😂😂😂
Nimechekaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…