FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Salam MMU membaz miss u big T.
Naanza na mkasa unaonishangaza !
Huyu jamaa ,Kabla hajaoa alienda kijijini kwao na kuleta binti mrembo akiwa ni mfanyakazi wake wa ndani
Amekaa nae muda mrefu huku binti akishuhudia pilika za jamaa wakati akileta girlfriends zake Na kufanya utambulisho mzuri tu kuwa ni msichana wake wa kazi na vile vile anamchukulia kama ndugu yake.
Muda wa kuoa ulifika jamaa kaoa na kuleta mke ndani ya nyumba wamekuwa na mahusiano mazuri tu kati ya mke/ mme na binti wa kazi.
Mama mwenye nyumba mungu amemjaalia watoto wawili.
Mara binti wa kazi nae alibeba mimba kisha alimleta jamaa na kumtambulisha kwa dada na shemeji kama ndo baba mwenye ujauzito
walimpokea vyema na kumuuliza nini hatma yao ,jamaa alisema atamuoa mambo yakikaa vizuri
Alienda kwao kujifungua na kukaa miezi sita kisha kurudi kuendelea na ajira yake kama kawaida.
Alifanya vema sana ktk kazi zake za ndani na kumuheshimu sana mke wa jamaa
Mama alimpenda sana na kumchukulia kama ndugu wa mmewe na wake pia,pia baba wa mtoto alikuwa anakuja mara kwa mara kumuona mwanae.
Jamaa baada ya mtoto wa H/G kutimiza miaka 3 Ndipo kaamua kuvunja ukimya kwa kuita ndugu na jamaa kuwatambulisha kwa binti wa kazi
bila kusita alisema huyo binti ana uhusiano nae toka kijijini na hata kabla hamjamuoa wife na mtoto ni wake na ameamua kumuoa kama mke wa pili
Na pia ameshamjengea nyumba anataka kumwamisha
Haya kina mama wenzangumlio kwenye ndoa na mnaotarajia kuingia kama wewe ungechukua maamuzi gani?
Hekima inahitajika hapa maana mama mwenzetu amechanganyikiwa.
Na nyie baadhi ya akina baba kwa nn mnafanya hivi lakini?
Mbona mnatuumiza sana !
Based on true.
Naanza na mkasa unaonishangaza !
Huyu jamaa ,Kabla hajaoa alienda kijijini kwao na kuleta binti mrembo akiwa ni mfanyakazi wake wa ndani
Amekaa nae muda mrefu huku binti akishuhudia pilika za jamaa wakati akileta girlfriends zake Na kufanya utambulisho mzuri tu kuwa ni msichana wake wa kazi na vile vile anamchukulia kama ndugu yake.
Muda wa kuoa ulifika jamaa kaoa na kuleta mke ndani ya nyumba wamekuwa na mahusiano mazuri tu kati ya mke/ mme na binti wa kazi.
Mama mwenye nyumba mungu amemjaalia watoto wawili.
Mara binti wa kazi nae alibeba mimba kisha alimleta jamaa na kumtambulisha kwa dada na shemeji kama ndo baba mwenye ujauzito
walimpokea vyema na kumuuliza nini hatma yao ,jamaa alisema atamuoa mambo yakikaa vizuri
Alienda kwao kujifungua na kukaa miezi sita kisha kurudi kuendelea na ajira yake kama kawaida.
Alifanya vema sana ktk kazi zake za ndani na kumuheshimu sana mke wa jamaa
Mama alimpenda sana na kumchukulia kama ndugu wa mmewe na wake pia,pia baba wa mtoto alikuwa anakuja mara kwa mara kumuona mwanae.
Jamaa baada ya mtoto wa H/G kutimiza miaka 3 Ndipo kaamua kuvunja ukimya kwa kuita ndugu na jamaa kuwatambulisha kwa binti wa kazi
bila kusita alisema huyo binti ana uhusiano nae toka kijijini na hata kabla hamjamuoa wife na mtoto ni wake na ameamua kumuoa kama mke wa pili
Na pia ameshamjengea nyumba anataka kumwamisha
Haya kina mama wenzangumlio kwenye ndoa na mnaotarajia kuingia kama wewe ungechukua maamuzi gani?
Hekima inahitajika hapa maana mama mwenzetu amechanganyikiwa.
Na nyie baadhi ya akina baba kwa nn mnafanya hivi lakini?
Mbona mnatuumiza sana !
Based on true.