Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 852
- 1,159
Huu msemo wa wanaume wa Dar huu, siku si nyingi wanaume wa dar hawataacha mtu salamaHuyu ni mwanamke..
Amejenga nyumba yake unahamia kwake na rambo yako bado uko na wanaume wenzako nasema naenda nyumbani...... ha ha ha ha my friend akili kukichwa wanaume wenzako wanakucheka.... hujui ada ya mtoto wa bili ya umeme/maji kataa kubali wewe ni house boy tuu kinachokufanya usilala nje ni ile shughuli yake ya usiku........
Wanaume wa Dar nani aliwaloga kwa kweli hii ni shida jingonezeni jamani khaaa