Ladies be careful

Ladies be careful

Hata wakipigiwa kengele ,they will go by the same style
 
acheni unafiki....dada kaandika simple plain english inaeleweka vizuri tu! angeandika kiranga au nyani ngabu hapa ingekuwaje??!!
 
acheni unafiki....dada kaandika simple plain english inaeleweka vizuri tu! angeandika kiranga au nyani ngabu hapa ingekuwaje??!!

wanatumiaga cha ndani sana eeeeh? ni watanzania wale au warundi?
 
wanatumiaga cha ndani sana eeeeh? ni watanzania wale au warundi?

Hao ni Wabongo, afadhali nyani ngabu huyo kiranga sijui anatumia 1600 BC English??!! maanake nimekaa sana na Waingereza ila sijawahi kusikia MWINGEREZA mwenye kingereza kigumu kama cha kiranga!!!
 
Da ccta pretty umenbariki sana na ujumbe huo
MUNGU azidi kukupatia hekima na busara kwa post zingine
 
Me binafs jambo likishaandikwa kwa lugha tofauti huwa linanikata stimu kusoma....
 
Mschana akibreak ungo akili yake huhamia kiunoni,il askie shart umpetpet her waist. A girl listen much more a naked boy than a well dressed parent or let say teacher. A boy anahubiri huku anatekenya kinembe whilst a parent lecture a dozen of don'ts.
 
akili za wadada wanazijua wenyewe zilivyo. hata ukiwashauri wataishia kukutukana tu ila wakishakuwa hawaoleki ndio unawaona wamejaa makanisani kumlilia Mungu.

ndio maana wajanja wamegundua mradi wa kuombea wasichana waolewe na kuwakamua pesa nyingi tu!!
wengi wao ni single parents au wale waliochezea ujana na kujikuta karibia menopause.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom