wa4
Senior Member
- Jul 2, 2016
- 158
- 65
Nilikuwa naishi na babu yangu mzaa baba, siku moja akaniambia (babu naona kama wanawake wote ni madume) sikujua la kumjibu pengine Kwa sababu umri wangu ulikuwa bado lakini Kwa sasa ninaanza kuyaona taratibu, kwani nina muda tangu nijiingize ktk mambo ya mapenzi na hatimaye ndoa, ukweli ni kwamba nina mwaka mmoja na miezi mitatu tangu ndoa yangu iingie dosari na kupelekea kutengana na mwenza wangu, ambayo ilidumu kwa miaka 13 kwa shida, nahitaji kuoa lakini mwanamke gani nimuoe ndio inanisumbua, swali la msingi nini haswa kinakusisimua pindi umuonapo mwanamke