Ladha ya kupombeka

Ladha ya kupombeka

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,852
Reaction score
831,129
Mabinti zake Lutu baada ya angamizo la Sodoma lililoondoka na mama yao mzazi.... Pamoja na nia yao ya kuendeleza KIZAZI lakini pia hamu(ashiki!) Viliwatuma wapange ku do na baba yao mzazi


IMG_20170920_180005.jpg

Hakuna asiyejua nguvu ya mvinyo hasa kwa wale madomo zege lakini pia kuna ladha yake very amazing when you are high with red wine and some alcohol in your spine bila kusahau ngumu kumeza! Ndomu kitu gani bana! Wengi wameangamia Samson wa Delilah ni mmojawapo.

Kipochi manyoya hakina adabu kabisa kile kidude... KIONE!!!! sura mbaya LAKINI MWANA! USIPIME kajiimbia Mwasiti 'Sio kisa pombe mama/my?! Acha kabisa ANAJUA
 
Mabinti zake Lutu baada ya angamizo la Sodoma lililoondoka na mama yao mzazi.... Pamoja na nia yao ya kuendeleza KIZAZI lakini pia hamu(ashiki!) Viliwatuma wapange ku do na baba yao mzazi View attachment 592265hakuna asiyejua nguvu ya mvinyo hasa kwa wale madomo zege lakini pia kuna ladha yake very amazing when you are high with red wine and some alcohol in your spine bila kusahau ngumu kumeza! Ndomu kitu gani bana! Wengi wameangamia Samson wa Delilah ni mmojawapo
Kipochi manyoya hakina adabu kabisa kile kidude... KIONE!!!! sura mbaya LAKINI MWANA! USIPIME
kajiimbia Mwasiti 'Sio kisa pombe mama/my?! Acha kabisa ANAJUA
Mshana jr watch it hapo ni counter
 
Kwani mtu kuandika kuhusu pombe hajiheshimu??au mtu anaekunywa pombe hajiheshimu?mtu anaejiheshimu pia hatakiwi kutoa hata jokes??...the one and only
Joke iko wapi hapo ,mtu alinambia huyu mukuu anajiheshimu sana, hapa anahamasisha ulevi na uzinifu bila anachokiita ndomu
 
Hivi kipochi manyoya huwa ni nini?.... malisikiaga sana hili neno
 
Mshana Jr. naomba upendekeze hili.

Kama mtu amelewa au amekunywa kileo, basi na anene au aseme kabla ya kupost JF.
 
Back
Top Bottom