Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Hi wananchi wenzangu,kipindi cha uchaguzi sio muda wa wanasiasa kupiga ngonjera zao tu bali na sisi waalikwa kuwapima wenzentu. Leo nilikuwa jangwani tangu saa nne asubuhi mpaka giza linaanza kuimalizia jumamosi hii,Chadema inaelekea ikulu ivi ivi kimzaa mzaa! Kinachotia kero ni hawa vibaraka,yani wateure wa watawala waliopewa kuiweka Tbc hewani kukata matangazo ya waheshimiwa wa Chadema kwa visingizio vya ajabu ila sababu ya kupasha habari njema! Waache tu! Pia Tbc wamerusha wagombea wa ubungo pia mama kachanganyikiwa mpaka kashindwa kujibu tuhuma akakimbilia kuhamaki eti ataenda mahakamani kumshtaki mpiga kura wake aliyemhoji swali gumu. Wana Ubungo uyu mumama muogope kama ukome ,mwambie akaendeleze huo umafya wake uko kwenye u DC wake!