Laboratory technician vs clinical medicine

Laboratory technician vs clinical medicine

Pure Scientific

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
716
Reaction score
644
Habari wakuu...
Nataka niapply hizi course kwa ngazi ya diploma ila nipo katikati kati ya hizi course mbili kwa upande wa lab technician nampango nikimaliza nijiunge degree hapo hapo ila nina mpango wa kujiajiri kwa hii course naogopa kupiga CO kwa kuwa nahisi ni ndefu sana hivyo ntatumia muda mrefu kupata degree na nijuavyo mimi ukimaliza CO lazima uingie kazini sasa lengo langu kubwa ni kupata degree...wakuu naombeni msaada wa mawazo
 
co lazma clinical medicine ukimalza unaingia kazini kwan uchaguzi cwakwako kusoma au kuajiliwa afu serikali gani inayokuajili au private??bado tunahakiki mpk 2020 ndo tutawaajiliiiiiiiiiii bado tunadeal na makinikia
 
Hii ni mpya kwangu kusikia CO wanaingia Job, Kuna intake almost mbili au tatu zipo benchi Na CO zao, Kama nia ni kujiajili soma lab au Pharmacy
 
Habari wakuu...
Nataka niapply hizi course kwa ngazi ya diploma ila nipo katikati kati ya hizi course mbili kwa upande wa lab technician nampango nikimaliza nijiunge degree hapo hapo ila nina mpango wa kujiajiri kwa hii course naogopa kupiga CO kwa kuwa nahisi ni ndefu sana hivyo ntatumia muda mrefu kupata degree na nijuavyo mimi ukimaliza CO lazima uingie kazini sasa lengo langu kubwa ni kupata degree...wakuu naombeni msaada wa mawazo
Co ni mpango mzima
 
Back
Top Bottom