Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 307
- 348
Jamani wadau naombeni msaada wenu mm nilifanya mthni wa kujiunga na veta mwaka Jana nikachaguliwa kozi hii LABORATORY ASSISTANT.
Hivyo wadau, naombeni msaada: je, kozi hii vp ajira yake yani soko lake katka kipind hiki je haina ugumu wa soko la ajira?
Hivyo wadau, naombeni msaada: je, kozi hii vp ajira yake yani soko lake katka kipind hiki je haina ugumu wa soko la ajira?