VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Kwa hali niliyoishuhudia katika chaguzi mbalimbali hapa nchini na 'mshikemshike' wa kuipitisha Rasimu, ni ngumu kuwa na haki katika chaguzi zetu. Wananchi wanachagua,watawala wanateua. Mfumo uliopo katika kuhesabu na kujumlisha kura hauruhusu ushindi wa kirahisi kwa wagombea au jambo linalopigwa na watawala kuibuka kidedea.
Amini nawaambia, hata Rasimu itapitishwa kwa 'kishindo' na wananchi. Na CCM itashinda kwa ushindi wa kimbuga katika uchaguzi wa mwaka huu na mwakani. Mfumo uko imara.Matayarisho kabambe tayari yameshakamilika. Alichofanya jana Sitta si 'incidental'.Ni 'purely planned'. Ndiyo maana hakuwa na shaka wala tashwishwi.
Jueni ya kuwa kwa mfumo uliopo wa upigaji na kuhesabu kura, huyu huwa yule na hapana huwa ndiyo. Labda waje wazungu watuhesabie kura. Amasivyo,wanademokrasia na wanasiasa mjipange!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Amini nawaambia, hata Rasimu itapitishwa kwa 'kishindo' na wananchi. Na CCM itashinda kwa ushindi wa kimbuga katika uchaguzi wa mwaka huu na mwakani. Mfumo uko imara.Matayarisho kabambe tayari yameshakamilika. Alichofanya jana Sitta si 'incidental'.Ni 'purely planned'. Ndiyo maana hakuwa na shaka wala tashwishwi.
Jueni ya kuwa kwa mfumo uliopo wa upigaji na kuhesabu kura, huyu huwa yule na hapana huwa ndiyo. Labda waje wazungu watuhesabie kura. Amasivyo,wanademokrasia na wanasiasa mjipange!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam