Labda uwe umeoana na samaki

Labda uwe umeoana na samaki

Janga la pili duniani baada ya jehanum ya moto, ni ndoa mbovu...Kosea kuvaa nguo ya ndani kichwani...Usikosee kuoa au kuolewa..

Nani kasema ndoa ndoano labda kama umeoa au umeolewa na samaki..
Pole mkuu, hebu funguka bila woga nini kimekupata kwenye ndoa? Kutoa ya moyoni nayo pia ni dawa.
 
Janga la pili duniani baada ya jehanum ya moto, ni ndoa mbovu...Kosea kuvaa nguo ya ndani kichwani...Usikosee kuoa au kuolewa..

Nani kasema ndoa ndoano labda kama umeoa au umeolewa na samaki..
Hivi mbona hizi story za hivi huwa haziishi?...BTW michezo mingine kama ya ndoa inakubidi uwe mtazamaji tu.
 
Mkuu....
Nina experience na haya mambo kwa zaidi ya miaka 15.
Kwa jinsi ulivyo andika, nahisi nimekuelewa sawia.
Sina neno zuri la kusema zaidi ya kuku shauri ukaze moyo, na ukikubali kuyumba kwa ajili ya mahaba ujue ndio umejimaliza.
Pole sana comrade.
Muombe Mungu akupe wepesi katika kipindi hiki cha mpito.
 
Hivi mbona hizi story za hivi huwa haziishi?...BTW michezo mingine kama ya ndoa inakubidi uwe mtazamaji tu.
Hazitoisha mkuu, sababu haya mambo yanatugusa kwenye maisha ya kilasiku
 
Pole mkuu, hebu funguka bila woga nini kimekupata kwenye ndoa? Kutoa ya moyoni nayo pia ni dawa.
Sitaki kuwaponda Wanaume au wanawake, ila ndoa bila kumpata right person utapata right prison
 
tatizo la kuoana baada ya kugundua gharama za harusi utachangiwa na kwenye sherehe utapewa zawadi
 
Janga la pili duniani baada ya jehanum ya moto, ni ndoa mbovu...Kosea kuvaa nguo ya ndani kichwani...Usikosee kuoa au kuolewa..

Nani kasema ndoa ndoano labda kama umeoa au umeolewa na samaki..

UNGEWEKA PICHA YA UFAFANUZI TAFADHALI!
 
Back
Top Bottom