Labda Lowassa akiwa Mwenyekiti, CHADEMA watakuwa wapinzani

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,695
Namfananisha Lowasa na maalim Seif hawa ni magwiji wa siasa tokea wakiwa CCM.Mwalimu Nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka ccm sasa ninapoziangalia siasa za upinzani zilivyodorora na kupoteza mwelekeo ni wazi Lowasa wa bara na Seif wa visiwani ndio pekee waliobaki na ushawishi. Kwa kuwa chadema hawajawahi kufanya siasa za kipinzani zaidi ya kujikita kwenye siasa za kiharakati ni wazi basi Lowasa akikalia kiti cha enzi cha cdm ataibadilisha kabisa na kuwa chama chenye sura ya upinzani halisi.Nasema LABDA kwa kuwa Eddo naye ni binadamu ana mawazo mbadala pia.
 
Comrade. ..nadhani, ,"huyo mzee", zaidi ni gwiji wa siasa za kisanii, kupita siasa za kisayansi....huko alikotoka, mafanikio makubwa ni kujipenyeza bila kujulikana, " kiwango chake 'dhaifu', cha kutafakari", bahati ilioje kwake!!!.... huko alikotokea, akizungukwa na wajuzi, wa bobezi, wandundu, na manyangindo wa sayansi ya siasa!
....ah! Masikini! Kajimaliza kisiasa!!!!...., lkn hapana mjadala, vile, akiwa katikati, ya "waliohamasika kiupofu, ktk, siasa koko",kajikita ktk sanaa vinavyostahiki, mpaka wamebaki wakizungusha wakisema, ati, "mabadiliko ni yeye, na yeye ndo mabadiliko"!
....huko kunamfaa!!!!.......wamekutana!
...Mungu awabariki, na awaongoze ktk siasa yao ya kisanii, na wakiona vipi, wampe na huo uenyekiti "awabimbirise" vizuri!
 
Back
Top Bottom