Pre GE2025 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani nchini vimeupuuza wito wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, wa kuunganisha nguvu, au wamehisi ni ulaghai na utapeli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
27,409
26,892
Nini hasa unadhani kimepelekea vyama vya upinzani nchini, kupuuza na kuukalia kimya wito wa kuunganisha nguvu ya upinzani kisiasa na kiongozi mpya wa Chadema Taifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025?

Ni hisia za ulaghai na utapeli wa kisiasa dhidi ya mipango ya vyama vyao, na hasa ukizingatia kauli, misimamo, lugha na aina ya siasa zisizoaminika za kiongozi huyo mpya wa Chadema?

Au wamehisi ni mbinu ya kisiasa ya kiongozi mpya wa Chadema kuhujumu misingi ya vyama vingine vya siasa vya upinzani, kuvidhoofisha na kukkinufaisha chama chake cha Chadema?

Au wameona hakuna dhamira wala nia njema kwenye wito huo kwani kwa muda mrefu sana kiongozi huyo amekua akivibeza vyama vya upinzani vyenye malengo na mtazamo ulio kinyume au tofauti na na chama chake, hata kufikia wakati vyama vya upinzani akaviita ni mamluki wa CCM na vingine ni ccmB.

Swali la kujiuliza,
ni lini mamluki na CCMB wamekua wa muhimu kiasi kwamba wanahitajika na alie wabeza kuunganisha nguvu nao kuelekea uchaguzi mkuu wa October?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Nini hasa unadhani kimepelekea vyama vya upinzani nchini, kupuuza na kuukalia kimya wito wa kuunganisha nguvu ya upinzani kisiasa na kiongozi mpya wa Chadema Taifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025?

Ni hisia za ulaghai na utapeli wa kisiasa dhidi ya mipango ya vyama vyao, na hasa ukizingatia kauli, misimamo, lugha na aina ya siasa zisizoaminika za kiongozi huyo mpya wa Chadema?

Au wamehisi ni mbinu ya kisiasa ya kiongozi mpya wa Chadema kuhujumu misingi ya vyama vingine vya siasa vya upinzani, kuvidhoofisha na kukkinufaisha chama chake cha Chadema?

Au wameona hakuna dhamira wala nia njema kwenye wito huo kwani kwa muda mrefu sana kiongozi huyo amekua akivibeza vyama vya upinzani vyenye malengo na mtazamo ulio kinyume au tofauti na na chama chake, hata kufikia wakati vyama vya upinzani akaviita ni mamluki wa CCM na vingine ni ccmB.

Swali la kujiuliza,
ni lini mamluki na CCMB wamekua wa muhimu kiasi kwamba wanahitajika na alie wabeza kuunganisha nguvu nao kuelekea uchaguzi mkuu wa October?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Chadema ndo chama pekee Cha upinzani hivyo vingine vyote ni mapandikizi ya CCM Kwa ajili ya kula pesa za ruzuku
 
Mada zako hata ukoo wa nguruwe wanaofugwa hawa wezi kukusikiliza yani jinga sana.
IMG_0588.jpeg
 
Chadema ndo chama pekee Cha upinzani hivyo vingine vyote ni mapandikizi ya CCM Kwa ajili ya kula pesa za ruzuku
ooh,
gentlema,
huenda hiyo sababu,
ambayo pia aliwahi kuisema mwenyekiti mpya wa chadema ndiyo imefanya apuuzwe na wapinzani wenzake, right? :pedroP:

malipo na hukumu ya maneneo na matendo yetu kwa wengine ni hapa hapa duniani
 
Ukiwa na akili TIMAMU, Hilo swali huwezi jiuliza.
relax tu gentleman,
hususan ikiwa hoja ni nzito kuliko upeo wako wa fikra mpya na mawazo mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani,

mwenyekiti mpya wa chadema ametoa wito vyama vya upinzani kuungana nae, wao wamempuuza na wewe una mbwela mbwela tu jukwaani dah:pedroP:
 
Back
Top Bottom