Hiyo Operetion ya kikuda! Inafichua tu halafu hakuna mwendelezo wake, yaani wakishatolewa magazetini basi baadae vitoto vinarudi kujiuza. Sioni kama zoezi linasaidia. Nilitegemea wakaombe sponsorship kwa watu kama kina Lowasa wanaotoa makanisani, Chenge na matajiri wengine wachangie ifunguliwe Ngo au mfuko wa kuwasaidia hawa watoto. Wapelekwe hata ufundi wapate ujuzi wajiajiri au wawezeshwe hata kwa biashara ndogo ndogo itasaidia. Lakini sio style hii ya kufichua na kuwaacha. I wish ningekuwa kama Lowassa ningewasaidia hawa watu walioingia huko kwa ugumu wa maisha GOD GIVE ME MONEY I HAVE SO MANY PEOPLE TO RUB THEIR TEARS.