MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Baada ya kaka zao La Roja kutwaa ubingwa wa EURO2012, vijana wa chini ya miaka 19 wametwaa ubingwa wa mwaka huu dhidi ya wapinzani wao Greece.
Kwa habari zaidi, bonyeza HAPA
Huu ni ushindi wa 6 kwa wadogo ndani ya miaka 11.
Wakati huo huo, timu ya Spain inayojitayarisha kwa michuano ya Olimpiki, juzi haikufua dafu katika mechi ya kirafiki dhidi ya Senegal iliyochezwa katika kisiwa cha Tenerife (Spain), ambapo wenyeji walilalazwa mabao mawili kwa yai. Kwa kweli katika mchezo huo tiu ya Spain ilielemewa sana na vijana wa Senegal.
Timu ya Spain ambayo wachezaji wake wa kikosi cha kwanza Juan Matta na Jordi Alba wamo kwenye timu ya Olimpiki, wataendeleza "ubabe wao" katika soka au ni "Upepo tu, utapita?"
Kwa habari zaidi, bonyeza HAPA
Huu ni ushindi wa 6 kwa wadogo ndani ya miaka 11.
Wakati huo huo, timu ya Spain inayojitayarisha kwa michuano ya Olimpiki, juzi haikufua dafu katika mechi ya kirafiki dhidi ya Senegal iliyochezwa katika kisiwa cha Tenerife (Spain), ambapo wenyeji walilalazwa mabao mawili kwa yai. Kwa kweli katika mchezo huo tiu ya Spain ilielemewa sana na vijana wa Senegal.
Timu ya Spain ambayo wachezaji wake wa kikosi cha kwanza Juan Matta na Jordi Alba wamo kwenye timu ya Olimpiki, wataendeleza "ubabe wao" katika soka au ni "Upepo tu, utapita?"