AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,283
- 4,018
Hao hawaishi walianza kukamatwa miaka ya 80 mpk sasa wanahangaika nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkumbe uliuona uzi ule!!! Ile ndiyo dawa!Walibanikwa kama ndafu
Kuna binadamu asiye nadhambi ???Cha kushangaza hata wasio wadhambi wanafikwa na mauti tena wakati mwingine bila hata kutarajia. Sidhani kama huu msemo una uhalisia kwa kweli.
Baada ya kushiba maharage ya shemeji sasa unaanza kujamba ujinga ujinga..Afu bongo Kuna mtu anajiita mwanaume wakati hajawahi hata kumvimbia mgambo wakati huko Mexico kuna mrembo mmoja miaka 21 anakomaa na jeshi na Polisi kwenye shout-out ya kibabe.
Tanzania tuna wavulana wengi Sana wanaume tuko wachache mno.
Me perguntan quales tulegado La Catrina?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaahaBaada ya kushiba maharage ya shemeji sasa unaanza kujamba ujinga ujinga..
Sent using Jamii Forums mobile app
TrueCha kushangaza hata wasio wadhambi wanafikwa na mauti tena wakati mwingine bila hata kutarajia. Sidhani kama huu msemo una uhalisia kwa kweli.