Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Sauti ya Umma (Sau), Amour Hasi Ali (kushoto) akimkabidhi fomu ya kugombea urais, Majaliwa Kyara (kulia) katika ofisi za chama hicho zilizopo Magomeni Kagera jijini Dar es Salaam. Wakati akichukua fomu hiyo, Majaliwa amesema amepanga kutengeneza Taifa lenye maadili na hofu na Mungu.
Soma, Pia: Hassan Doyo achukua Fomu ya Urais kupitia Chama cha NLD, ataja vipaumbele Kumi
Soma, Pia: Hassan Doyo achukua Fomu ya Urais kupitia Chama cha NLD, ataja vipaumbele Kumi