kwenye semina

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,467
Reaction score
1,238
SEMINA UBUNGO PLAZA,watu wakaanza kujitambulisha,Mtu wa1: mimi naitwa John niko UDOM Mwaka wa 2, nasoma LAW.Mtu wa 2: mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION.Mtu wa3: kwa kusuasua sana huku akijishtukia, mimi naitwa Paulo niko TANESCO mwaka wa 4 nasoma MITA.
 
Funika bovu leo nitalala na teh teh te te te te.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…