Kwenye Mchoro huu Kipanya alimaanisha nini?

Kwenye Mchoro huu Kipanya alimaanisha nini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,676
Reaction score
272,519
Angalia halafu Toa Maoni yako

Screenshot_2025-06-03-22-36-49-1.png
 
Angalia halafu Toa Maoni yako

View attachment 3355089
Ila huyu jamaa @Masudkipanya ana kipaji flan cha utabiri kwamba anajuaga yajayo kwa nfasi yake ama tuseme anafikiriaga mile nyingi mbele kuliko sisi hadhira yake. Inshort jamaa ana kau genious flan. Maana kuna muda anatoaga kaz zake na wenye akili kubwa ndo wanawezaga kuelezea wengine kuwa jamaa atakuwa kamaanisha jambo flan na mengi anayoandikaga kwenye kazi zake yanakujaga kutokea.
 
Angalia halafu Toa Maoni yako

View attachment 3355089
Picha inajieleza! Kuna mwanamke amegeukia upande mwingine huku akiwa na ushungi wenye rangi kama nyekundu hivi na gauni lake refu tu! Amesimama kwenye gogo ambalo linakatwa na mtu asiyejulikana (ameficha uso wake), halafu kukiwa na mnyororo ulio waunganisha hao watu wawili.

Maana yake nini; mtu asiyejulikana anafikiri akilikata hilo gogo, huyo mwanamke mwenye ushungi ataanguka peke yake! Na wakati kuna mnyoror umewaunganisha wote wawili. Kwa hiyo lazima waanguka tu wote kwa pamoja.
 
Huu ni unabii kabisa. Huyu mama na watu wasiojulikana wataanguka wote kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom