kwenye mazishi

Little-Lady

Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
10
Reaction score
3
jamaa mmoja alikwenda kwenye mazishi ya jiran yake.maada ya kumzika marehemu ,watu bado walilia xana .axa jamaa yule alilia kuliko watoto wa marehemu .watu wakashangaa xana alivyoonahivyo akanyamaza.mwenzake wa pembeni akamwoliza ,;mbona umenyamaza kulia?jamaa akajbu nimeweka vibration.
 
vibration kwenye kulia, jamani hahahahaha.
 
inachekesha lakini mimi sikuelewa hayo maneno kwenye rangi nyekundu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…