X-PASTER, naomba ufafanuzi wa maana ya hii sentensi "HAKU sikuwa mimi", hii HAKU ni jina la mtu au...? , kwa mimi ninayejua kiswahili cha mtaani na sio cha shuleni ningesema, "huyo sikuwa mimi" au "sio mimi", naomba unifahamishe hapa, sijawahi kusikia/kuona matumizi ya namna hii.