Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Najua najua Duniani kuna raha nyingi
Lakini raha zingine jomoon sio kabisa
Kwenu wadada wenzangu, wanaume wasiwadanganye wakawapa raha ya kifuani
Sikuhizi tunaona wadada wana vifua vina mifereji na njia paaana kama bahari kumbe karuhusu kufanyiwa hapo kifuani
Wengine wameharibiwa sana mpaka wanatia kinyaa na huruma kuwaangalia wakivua nguo zao
Msikubali Kufanyiwa hivyo vitendo kwanini msitumie njia za kawaida kufanya mnaenda kuharibu vifua?!
Vifua vimewakosea nini? !
Wengine wanafanya Plastic Surgery ya Vifua kwa madaktari wa be poa wanatengenezwa Vifua kama njia nene ya kwenda jehanamu
Wanaume ni watu wazuri sana ila ukiwaendekeza wanakuharibu vizuri sana
Ni hayo kwaleo, nyakanga wenu amewasaidia
Lakini raha zingine jomoon sio kabisa
Kwenu wadada wenzangu, wanaume wasiwadanganye wakawapa raha ya kifuani
Sikuhizi tunaona wadada wana vifua vina mifereji na njia paaana kama bahari kumbe karuhusu kufanyiwa hapo kifuani
Wengine wameharibiwa sana mpaka wanatia kinyaa na huruma kuwaangalia wakivua nguo zao
Msikubali Kufanyiwa hivyo vitendo kwanini msitumie njia za kawaida kufanya mnaenda kuharibu vifua?!
Vifua vimewakosea nini? !
Wengine wanafanya Plastic Surgery ya Vifua kwa madaktari wa be poa wanatengenezwa Vifua kama njia nene ya kwenda jehanamu
Wanaume ni watu wazuri sana ila ukiwaendekeza wanakuharibu vizuri sana
Ni hayo kwaleo, nyakanga wenu amewasaidia