Kwenu Wadada: Msikubali Kufanyiwa Hivi..

Kwenu Wadada: Msikubali Kufanyiwa Hivi..

Ni maumbile tuu ya mtu,watu hawafanani.
Yaani ......inatanua kifua?daah!.. hahhhahaha.vitu vigeni ivi atleast kuwe na source,maana sasa huku ni kudanganyana nje nje.
 
Ila kwa kweli haka katoto kanachapwa sana na wajanja, yeye mwenyewe anajiona anapendwa kumbe anaharibiwa. Diamond anawaharibu mno wasichana wa Dar, ila si kosa lake maana wanaume wenyewe hawajitambui wako bize kukata mauno kwenye bongo fleva na vibao kata..... Money Penny nadanganya kuhusu wanaume wenu wa Dar?
 
ndio starehe yangu harafu anakua kama ana achama kichwa kinapita kinywani, sio kilema hicho mbona miye kuna Demu shughuli yake pevu nikimwachia natembea kama Chiba au kiwete. Usiharibu burudani za watu
 
Hakuna science ya kufanya kifuani na mwanamke kuwa hivi
Ni kama kusema mwanamke akishikwa maziwa yanalala
Hivi ni vimisemo vya mitaani visivyo na ukwel wowote
Angalia video ya dadako hapo uone kifua kilivyochacha
 
Ni maumbile tuu ya mtu,watu hawafanani.
Yaani ......inatanua kifua?daah!.. hahhhahaha.vitu vigeni ivi atleast kuwe na source,maana sasa huku ni kudanganyana nje nje.
Wewe ni ke au me?!

Kama ni Ke Angalia kifua Chao alafu kangalie cha mdogowako kwenye video hapo alafu uje uongee tena
Usitufanye vipofu watu wazima tunajua tunachosema

Kama ni Me anza kumgua demu wako, dadako na mamazako Ndio uje uongee upya
 
Ila kwa kweli haka katoto kanachapwa sana na wajanja, yeye mwenyewe anajiona anapendwa kumbe anaharibiwa. Diamond anawaharibu mno wasichana wa Dar, ila si kosa lake maana wanaume wenyewe hawajitambui wako bize kukata mauno kwenye bongo fleva na vibao kata..... Money Penny nadanganya kuhusu wanaume wenu wa Dar?
Hahahahaha
Mimi Dar nimehamishwa naishi Dodoma na Germany
Ahahahahah Mungu anakuona watakuchapa ohoo!

Yani huko mbeleni kutakuwa na mengi ya kufurahisha. .. kaa mkao wa kula
 
ndio starehe yangu harafu anakua kama ana achama kichwa kinapita kinywani, sio kilema hicho mbona miye kuna Demu shughuli yake pevu nikimwachia natembea kama Chiba au kiwete. Usiharibu burudani za watu
Na wengine kifuani hamuwapaki mafuta ya KY mnawasugua wanakuwa weusiii alafu kwenye picha wanahakikisha wamepakwa makeup kuziba weusiii wa dyudyu

Woi

Wanawake mkiendelea mtakuwa mnatembea kama Kobe mana kusimama wima mtashindwa

Yajayo yanafurahisha sana
 
Back
Top Bottom