Poleni kwa majukumu ya kila siku ya kujenga taifa. Nawatumia ujumbe huu nawaomba ufanyieni kazi.
Ninyi wenyewe ama Watendaji wa Wizara zenu ifanyieni uchunguzi na auditing shule yenye usajili wa S.4048 iliyopo Meru-Arusha. Ulenge mambo yafuatayo;
1. Matumizi ya fedha ya serikali ya kila mwezi inayopelekwa shuleni (kama ni sahihi).
2. Suala la sakata la idadi ya wanafunzi (wanafunzi hewa) ambalo lilipelekea mpaka TAKUKURU kuchukua daftari ya idadi ya wanafunzi lakini suala linasuasua.
3. Mwaka 2017 Ndalichako ulipeleka Zawadi ya milioni 2 na cheti kwa shule kupanda katika matokeo, Sasa kaulize fedha hiyo imefanyiwa nini na ni kwa HAKI?
4. Kaulizeni ni kwanini walimu wawili walienguliwa majina yao baada ya walimu hao kuchaguliwa na Afisa Elimu Taaluma kwenda kusimamia mitihani ya kidato cha nne? Na tuhuma za kutoa 10% (ten percentages) kwa Mkuu endapo mwalimu ataenda kusimamia na wasionesha dalili ya kutoa hawaendi hukatwa majina yao.
5. Michango shuleni, kaulizeni ilikuwaje mpaka Mkurugenzi aliyekuwepo Christopher Kazeri adai maelezo dhidi ya hili?
6. Mahusiano ya kiutendaji baina ya walimu na uongozi uliopo,n.k
Hii ni kwa maslahi mapana ya elimu Tanzania na watoto wa Kitanzania.
Ninyi wenyewe ama Watendaji wa Wizara zenu ifanyieni uchunguzi na auditing shule yenye usajili wa S.4048 iliyopo Meru-Arusha. Ulenge mambo yafuatayo;
1. Matumizi ya fedha ya serikali ya kila mwezi inayopelekwa shuleni (kama ni sahihi).
2. Suala la sakata la idadi ya wanafunzi (wanafunzi hewa) ambalo lilipelekea mpaka TAKUKURU kuchukua daftari ya idadi ya wanafunzi lakini suala linasuasua.
3. Mwaka 2017 Ndalichako ulipeleka Zawadi ya milioni 2 na cheti kwa shule kupanda katika matokeo, Sasa kaulize fedha hiyo imefanyiwa nini na ni kwa HAKI?
4. Kaulizeni ni kwanini walimu wawili walienguliwa majina yao baada ya walimu hao kuchaguliwa na Afisa Elimu Taaluma kwenda kusimamia mitihani ya kidato cha nne? Na tuhuma za kutoa 10% (ten percentages) kwa Mkuu endapo mwalimu ataenda kusimamia na wasionesha dalili ya kutoa hawaendi hukatwa majina yao.
5. Michango shuleni, kaulizeni ilikuwaje mpaka Mkurugenzi aliyekuwepo Christopher Kazeri adai maelezo dhidi ya hili?
6. Mahusiano ya kiutendaji baina ya walimu na uongozi uliopo,n.k
Hii ni kwa maslahi mapana ya elimu Tanzania na watoto wa Kitanzania.
