Kwenu msiovaa barakoa: Wakati sisi tunaikimbia corona nyie mnatuambukiza makusudi

MUSHEKY

JF-Expert Member
May 9, 2014
2,812
2,754
Poleni wadau na mihangaiko ya maisha iliyoambatana na janga hili mtambuka la covid-19

Niende kwenye mada moja kwa moja,

Wakati serikali ya mkoa wa Dar es salaam ikitambua hatari inayoweza kuwakumba wananchi wa eneo hilo kama hawatachukua hatua madbubuti,

iliamua kuidhinisha uvaaji wa barakoa kua rasmi kwa wakazi wa mji huu japo wapo waliojali afya zao na kuvaa barakoa hizi hata kabla ya kuambiwa na makonda

Tatizo linakuja pale baadhi ya watu wanaposhindwa si tu kuzijali afya zao bali na za watu wanaowazunguka kwa kutokuvaa vifaakinga hivi

Ukipanda daladala huku ukiwa unevalia kibarakoa chako safi kilichoshonwa na fundi Joni,

wapo watu unajikuta upo nao siti moja wapo domo wazi tena utakuta wanakohoa bila mpangilio na kutema mate dirishani bila kujali

Watu hawa ni rahisi sana kuambukiza wenzao kwa kua tunapojiziba pua na mdomo ipo hatari ya kuambukizwa kupitia kwenye macho (nacked eye)

Naziomba mamlaka zinazohusika ziweke ulazima na adhabu stahiki kwa hawa wauwaji wasiovaa vifaa hivi hasa kwenye vyombo vya usafiri ambavyo si rahisi kwa watu kukaa umbali wa zaidi ya mita moja na nusu

Nashauri hivyo pia kwakua vitendo vya chafya na kukohoa ni vitu natural na vinakuja bila taarifa na wakati wowote

# Ramadhan mubaarak
 
Poleni wadau na mihangaiko ya maisha iliyoambatana na janga hili mtambuka la covid-19

Niende kwenye mada moja kwa moja,

Wakati serikali ya mkoa wa Dar es salaam ikitambua hatari inayoweza kuwakumba wananchi wa eneo hilo kama hawatachukua hatua madbubuti,

iliamua kuidhinisha uvaaji wa barakoa kua rasmi kwa wakazi wa mji huu japo wapo waliojali afya zao na kuvaa barakoa hizi hata kabla ya kuambiwa na makonda

Tatizo linakuja pale baadhi ya watu wanaposhindwa si tu kuzijali afya zao bali na za watu wanaowazunguka kwa kutokuvaa vifaakinga hivi

Ukipanda daladala huku ukiwa unevalia kibarakoa chako safi kilichoshonwa na fundi Joni,

wapo watu unajikuta upo nao siti moja wapo domo wazi tena utakuta wanakohoa bila mpangilio na kutema mate dirishani bila kujali

Watu hawa ni rahisi sana kuambukiza wenzao kwa kua tunapojiziba pua na mdomo ipo hatari ya kuambukizwa kupitia kwenye macho (nacked eye)

Naziomba mamlaka zinazohusika ziweke ulazima na adhabu stahiki kwa hawa wauwaji wasiovaa vifaa hivi hasa kwenye vyombo vya usafiri ambavyo si rahisi kwa watu kukaa umbali wa zaidi ya mita moja na nusu

Nashauri hivyo pia kwakua vitendo vya chafya na kukohoa ni vitu natural na vinakuja bila taarifa na wakati wowote

# Ramadhan mubaarak

Sent using Jamii Forums mobile app
we c umevaa endelea na maisha
 
Sasa hatupumui vizuri unataka tufanyaje..?
Binafsi najipiga nyungu sijui wengine!
 
Poleni wadau na mihangaiko ya maisha iliyoambatana na janga hili mtambuka la covid-19

Niende kwenye mada moja kwa moja,

Wakati serikali ya mkoa wa Dar es salaam ikitambua hatari inayoweza kuwakumba wananchi wa eneo hilo kama hawatachukua hatua madbubuti,

iliamua kuidhinisha uvaaji wa barakoa kua rasmi kwa wakazi wa mji huu japo wapo waliojali afya zao na kuvaa barakoa hizi hata kabla ya kuambiwa na makonda

Tatizo linakuja pale baadhi ya watu wanaposhindwa si tu kuzijali afya zao bali na za watu wanaowazunguka kwa kutokuvaa vifaakinga hivi

Ukipanda daladala huku ukiwa unevalia kibarakoa chako safi kilichoshonwa na fundi Joni,

wapo watu unajikuta upo nao siti moja wapo domo wazi tena utakuta wanakohoa bila mpangilio na kutema mate dirishani bila kujali

Watu hawa ni rahisi sana kuambukiza wenzao kwa kua tunapojiziba pua na mdomo ipo hatari ya kuambukizwa kupitia kwenye macho (nacked eye)

Naziomba mamlaka zinazohusika ziweke ulazima na adhabu stahiki kwa hawa wauwaji wasiovaa vifaa hivi hasa kwenye vyombo vya usafiri ambavyo si rahisi kwa watu kukaa umbali wa zaidi ya mita moja na nusu

Nashauri hivyo pia kwakua vitendo vya chafya na kukohoa ni vitu natural na vinakuja bila taarifa na wakati wowote

# Ramadhan mubaarak
Ni kweli hasa makondakta na madereva wa daladala halfu wanapenda kuongea safari nzima na ku shout kuita abiria hivyo kurusha............. kwa abiria wengine na angani, hivyo uwezekano wa droplets kuangukia kwa mtu mwingine kuwa kubwa
 
Eduardo Mondlane aliuawa kwa bomu jijini Dar es salaam inasemekana lilitegwa katika kitabu alichotumiwa toka Ujerumani.

Wengine wanasema Mondlane aliuawa na PIDE, idara ya ujasusi ya Ureno ikiwa na lengo la kudhoofisha harakati za uhuru wa Msumbiji.

Alizikwa makaburi ya Kinondoni, nafasi yake ya uongozi wa FRELIMO ilichukuliwa na Samora Machel.
View attachment 419960
Eduardo Mondlane akiwa na Ernesto Che GuevaraDar es salaam mwaka 1966.
Poleni wadau na mihangaiko ya maisha iliyoambatana na janga hili mtambuka la covid-19

Niende kwenye mada moja kwa moja,

Wakati serikali ya mkoa wa Dar es salaam ikitambua hatari inayoweza kuwakumba wananchi wa eneo hilo kama hawatachukua hatua madbubuti,

iliamua kuidhinisha uvaaji wa barakoa kua rasmi kwa wakazi wa mji huu japo wapo waliojali afya zao na kuvaa barakoa hizi hata kabla ya kuambiwa na makonda

Tatizo linakuja pale baadhi ya watu wanaposhindwa si tu kuzijali afya zao bali na za watu wanaowazunguka kwa kutokuvaa vifaakinga hivi

Ukipanda daladala huku ukiwa unevalia kibarakoa chako safi kilichoshonwa na fundi Joni,

wapo watu unajikuta upo nao siti moja wapo domo wazi tena utakuta wanakohoa bila mpangilio na kutema mate dirishani bila kujali

Watu hawa ni rahisi sana kuambukiza wenzao kwa kua tunapojiziba pua na mdomo ipo hatari ya kuambukizwa kupitia kwenye macho (nacked eye)

Naziomba mamlaka zinazohusika ziweke ulazima na adhabu stahiki kwa hawa wauwaji wasiovaa vifaa hivi hasa kwenye vyombo vya usafiri ambavyo si rahisi kwa watu kukaa umbali wa zaidi ya mita moja na nusu

Nashauri hivyo pia kwakua vitendo vya chafya na kukohoa ni vitu natural na vinakuja bila taarifa na wakati wowote

# Ramadhan mubaarak
Ahsante Sana Ndugu...!!!, Lakini kwa majibu ulioyapata!, Wantanzania tunahitaji Mafunzo ama Maombi zaidi!
 
Back
Top Bottom