Granite
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 268
- 623
Habari wanajukwaa hili, kwa mara nyengine nakuja kwenu Ma Hr katika Kampuni/Taasisi zenye miradi ya ujenzi inayoendelea nchini, Ma Hr wenye connection yeyote katika sekta ya ujenzi, Wamiliki wa Makampuni, Wasimamizi wa miradi, Wahandisi wabobezi, viongozi na watanzania wenzangu Nawasilisha kwenu ombi langu la kutafuta nafasi ya ya ajira katika kada ya uhandisi ujenzi. Uzoefu wangu katika kada ya uhandisi ni miaka 2. Maeneo ambayo unaweza kufanya kwa ufanisi mkubwa ni
1.Designing (Building)
2.Supervision of Site Works both (Civil Works and Building Works)
3.Preparation of Bill of Quantities (BOQ)
4.Ninaweza kusimamia ujenzi wa nyumba ya kuishi kwa ubora na viwango kama ilivyosanifiwa na kama maelekezo ya Msanifu majengo yanavyohitaji
Academic qualifications
1.Bachelor in Civil Engineering
2.Diploma in Civil Engineering
3.ACSEE
4.CSEE
Professional Certificate
Graduate Engineer Certificate by Engineer Registration Board (ERB)
Industrial Risk and Security Management Certificate By Institute of Engineers of Tanzania (IET)
Construction Pre Contract Practice Certificate by Contractors Registration Board (CRB)
Computer Knowledge and Skills
1.Computer Aided Drawing (AutoCAD)
2.Prota Structure
3.ArchiCad
4.Microsoft Office Package (Word, Excel, Power Point, Publisher)
Nipo tayari kufanya kazi mahali popote katika nchi yetu. Ahsanteni
Naomba radhi kwa niliowakwaza nawatia moyo watafutaji wenzangu tusichoke, ATAFUTAYE HACHOKI, AKICHOKA KAPATA
1.Designing (Building)
2.Supervision of Site Works both (Civil Works and Building Works)
3.Preparation of Bill of Quantities (BOQ)
4.Ninaweza kusimamia ujenzi wa nyumba ya kuishi kwa ubora na viwango kama ilivyosanifiwa na kama maelekezo ya Msanifu majengo yanavyohitaji
Academic qualifications
1.Bachelor in Civil Engineering
2.Diploma in Civil Engineering
3.ACSEE
4.CSEE
Professional Certificate
Graduate Engineer Certificate by Engineer Registration Board (ERB)
Industrial Risk and Security Management Certificate By Institute of Engineers of Tanzania (IET)
Construction Pre Contract Practice Certificate by Contractors Registration Board (CRB)
Computer Knowledge and Skills
1.Computer Aided Drawing (AutoCAD)
2.Prota Structure
3.ArchiCad
4.Microsoft Office Package (Word, Excel, Power Point, Publisher)
Nipo tayari kufanya kazi mahali popote katika nchi yetu. Ahsanteni
Naomba radhi kwa niliowakwaza nawatia moyo watafutaji wenzangu tusichoke, ATAFUTAYE HACHOKI, AKICHOKA KAPATA