Kwenu Hackers

Naomba kufahamu hackers wanafanyaje kwenye port scanning na denial of service
Port scanning and denial of service ni hile hali ya kutuma several request to the target server kuifanya iwe bize kurespond hizo several request kiasi kwamba legitimate request zinakuwa denied (denial of service). Nia ni kufanya hiyo server isipatikane hewani na kumuharibia biashara (rival businesses)
 
Port scanning and denial of service ni hile hali ya kutuma several request to the target server kuifanya iwe bize kurespond hizo several request kiasi kwamba legitimate request zinakuwa denied (denial of service). Nia ni kufanya hiyo server isipatikane hewani na kumuharibia biashara (rival businesses)

Shukrani sana mkuu bila shaka wewe ni expert,
kuna hii ya mwisho
simulate
configuration
Team viewer
msaada wako please
 
Unatafuta majibu ya mtihani au?
Simulation uwakilishi (kwa kutumia kompyuta) wa kitu halisi unachotaka kukifanya. Kwa mfano unataka kutengeneza machine ya kukamua muwa kwa kutumia umeme. Utaweka viwakilishi vya vitu vyote utakavyotumia kutengeneza hiyo machine kama motar, vinu vya kukamua juice, mahali pa kuingiza muwa na kutokea, na juice itakavyokuwa inatoka, n.k. Sasa ukitengeneza viwakilishi hivyo vyote kwa kutumia komputa na ikaonyesha katika muvi (movie) jinsi itakavyokuwa imafanyakazi ndo inaitwa "animation"
 
Teamviewer ni application ya kuwezesha kuingia kwenye desktop ya computer iliyombali na wewe na kufanyakazi kana kwamba huko hapo hapo. Inahitajika pawepo na mtu wa kuweza kukuunganisha kwa kukutumia namba ya utambulisho wa hiyo computer then baada ya hapo itaunganishwa na desktop ya hiyo PC kwenye PC yako hapo ulipo. Natumiaga sana hii application kuwahudumia wateja wangu
 
Configuration ni kuweka variables, parameters kwenye mfumo unaotaka computer ifanye kazi. Kwa mfano kama unataka computer itumike kutoa huduma ya internet itabidi uiambie itoe IP address na kuunganisha downstream PCs to the web. Kwa kufanya hivyo tunasema unaconfigure
 
Unatafuta majibu ya mtihani au?
Simulation uwakilishi (kwa kutumia kompyuta) wa kitu halisi unachotaka kukifanya. Kwa mfano unataka kutengeneza machine ya kukamua muwa kwa kutumia umeme. Utaweka viwakilishi vya vitu vyote utakavyotumia kutengeneza hiyo machine kama motar, vinu vya kukamua juice, mahali pa kuingiza muwa na kutokea, na juice itakavyokuwa inatoka, n.k. Sasa ukitengeneza viwakilishi hivyo vyote kwa kutumia komputa na ikaonyesha katika muvi (movie) jinsi itakavyokuwa imafanyakazi ndo inaitwa "animation"

Nimeleewa mkuu asante sana,lugha mkuu nilitaka nielewe kama ulivyonielewesha kwa ufasaha zaidi.barikiwa
 
Teamviewer ni application ya kuwezesha kuingia kwenye desktop ya computer iliyombali na wewe na kufanyakazi kana kwamba huko hapo hapo. Inahitajika pawepo na mtu wa kuweza kukuunganisha kwa kukutumia namba ya utambulisho wa hiyo computer then baada ya hapo itaunganishwa na desktop ya hiyo PC kwenye PC yako hapo ulipo. Natumiaga sana hii application kuwahudumia wateja wangu

Ni lazima kuwe na access ya internet kwa computer zote si ndio..??
Ntaipitia ila nikikwama usikose kunielekeza zaidi mkuu.
 
denial of service means your making alot of requests that the server cant handle all of them, mwisho wa idadi ya requests kama sjakosea ni 30,000 requests for a server, unless ni joint: most of them are joint meaning server zpo nyingi kwa pamoja and they share handling requests: put in your head that some servers your cant do any DDOS, example google, if you do this your network provider will shut down before google
 
Back
Top Bottom