Kwenu boys n girls

Kwenu boys n girls

TihZ

Senior Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
158
Reaction score
26
Usikubali ufanywe kama chakula cha mgonjwa unaliwa ila hauna uhakika kama utabaki tumboni au utatapikwa.
 
ha ha je kizazi hiki kinaelewa haya wao wanajua kugegedana tu
 
duh umenena vema,hiki ni kizazi cha wagalatia aliyekiloga hajakiachia bado.
 
Hee! Kuonjeshwa asali ndo unahamasisha watu wachonge mizinga moja kwa moja....yanini kutiana stress?!
 
Back
Top Bottom