Sasa kipi kitatangulia? itabidi ajenge daraja kwanza ili akileta mto mpate kuuvuka kirahisi au alete mto kwanza kisha tuanze kujenga daraja? Teheeeeeeeeeeee:lol:
....kufufua viwanda vilivyokufa miaka zaidi ya 20 iliyopita.....hajasema how; atatafuta wawekezaji au CCM au ikulu au vipi? ipo haja ya wasaidizi wake wamshauri apunguze hizo consumer-based pledges maana zinamdhalilisha badala ya kumpa credit!!!
....kufufua viwanda vilivyokufa miaka zaidi ya 20 iliyopita.....hajasema how; atatafuta wawekezaji au CCM au ikulu au vipi? ipo haja ya wasaidizi wake wamshauri apunguze hizo consumer-based pledges maana zinamdhalilisha badala ya kumpa credit!!!