Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kw timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akenda!) ni kawaida au kuna tatizo apo
hujaeleweka
Unataka ujue au yeye ajue ili iweje!? Maswali mengine bana!!!! :nono::nono::nono:
jf inazidi kushuka thamani kama shilingi ya tanzania.
Kama uko SERIOUS basi na ufuate ushauri wangu;
Mapenzi/Ndoa ni mwili mmoja. Ni mwili mmoja unaoshirikisha harufu, majimaji n.k. Harufu ambazo ni natural ni lazima zikubalike baina ya wawili. Hapa ninamaanisha vitu kama kujamba. Harufu ambazo zinatokana na uchafu kama soksi, vikwapa n.k inabidi mshirikiane wanandoa kuzikabili na kuzitokomeza.
Sijui mahusiano yenu yalikuwaje tangu awali. Kwa mfano wa design ya vyoo ambayo bafu na sinki ya kupigia mswaki viko pale pale, hakuna tatizo kama mwezi wako akiwa anakata gogo na wewe uko pale. After all NI MWILI MMOJA.
Mimi bana na mke wangu hatuna tatizo. Ila nikiwa nakata gogo kama yupo ndani namu warn maana najua mziki wangu si mchezo. Mara nyingine anabaki, mara nyingine ngoma inamshinda. Pia hata yeye akiwa anakata gogo naweza kuwepo ila mara nyingine hali inakuwa tight.
Kujamba ndio kawaida kabisa ila atleast unaweza kutoa angalizo, Love, najamba...... Ile harufu amini nakwambia inaleta kautani hivi. Ikiwa kali unaweza piga yowe(kiutani) na utani huu(mzuri) unaongeza ladha ya mapenzi.
Kama uko SERIOUS basi na ufuate ushauri wangu;
Mapenzi/Ndoa ni mwili mmoja. Ni mwili mmoja unaoshirikisha harufu, majimaji n.k. Harufu ambazo ni natural ni lazima zikubalike baina ya wawili. Hapa ninamaanisha vitu kama kujamba. Harufu ambazo zinatokana na uchafu kama soksi, vikwapa n.k inabidi mshirikiane wanandoa kuzikabili na kuzitokomeza.
Sijui mahusiano yenu yalikuwaje tangu awali. Kwa mfano wa design ya vyoo ambayo bafu na sinki ya kupigia mswaki viko pale pale, hakuna tatizo kama mwezi wako akiwa anakata gogo na wewe uko pale. After all NI MWILI MMOJA.
Mimi bana na mke wangu hatuna tatizo. Ila nikiwa nakata gogo kama yupo ndani namu warn maana najua mziki wangu si mchezo. Mara nyingine anabaki, mara nyingine ngoma inamshinda. Pia hata yeye akiwa anakata gogo naweza kuwepo ila mara nyingine hali inakuwa tight.
Kujamba ndio kawaida kabisa ila atleast unaweza kutoa angalizo, Love, najamba...... Ile harufu amini nakwambia inaleta kautani hivi. Ikiwa kali unaweza piga yowe(kiutani) na utani huu(mzuri) unaongeza ladha ya mapenzi.
Yani umeshindwa kuwa free kwa mkeo, juu ya jambo dogo kama kwenda tiolet ila umekuwa free kutuambia hapa JF?mmoja akiugua hoi mtaweza kuuguzana na kuzoana kinyesi kweli?kweli ndoa za dot com!