Kwenda kuoa kwenu

Kwenda kuoa kwenu

Wisest man

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
993
Reaction score
332
Kuna jamaa yangu mmoja ambaye alikuwa single ila kwa sasa ameoa, style aliyoitumia kuoa kidogo inaonekana ni tata, hivyo tujadili faida na madhara ya kutumia style hii kupata mke, ni hivi...
Jamaa yupo dar, na anataka kuoa mtoto wa kimbulu, jamaa akaamua kwenda moja kwa moja umbulluni ukizingatia hakuwahi kufika huko na hana mwenyeji huko, ila akakaa kama wiki mbili jamaa akarudi na mtoto wa kimbullu ambaye anakaa nae hadi sasa huku mchakato wa ndoa na mahali ukiendelea!!
Wakuu mnaionaje hii?
 
Kweli 2013 inakaribia ku rest in peace.
 
anaishi nyumba za kupanga? huyo mwanamke ni mjanja au ni zoba maana kama ni zoba siku skijanjaruka ataipenda..
 
^^
Wambulu wazuri ila mmm !!!
Btw: Naamini ktk pendo la dhati si kupata nyumbani au ugenini
^^
 
Tusiikaribie Zinaa kwani huo ni Uchafu. Dini zote zinazofahamika kwenye Mazingira zote zinakataza Kungonoka kabla ya Ndoa unless otherwise wawe hawakunjani!
 
Back
Top Bottom