Hahaa hii naikumbuka ilikuwaga ni ujinga sana aiseKama kuna demu unampenda unamvizia akienda kukojoa akitoka tu na wewe unaenda kukojolea kale kashimo kalikochimbwa na mkojo wake, haipiti hata siku lazima utamtafuna, binafsi nilisubiri sana kutafuna mademu kiulaini lakini ikawa bila bila.
Binafc niliamini kabisa kwamba ni hatari kuwa karibu na kondoo wakati mvua inanyesha, maana radi huwa inashuka kumtafuta ili ipigane nae.
Niliamini kwamba ili vita ya nchi na nchi ipiganwe basi unachorwa mstari mreeefu sana, halafu upande huu wanasimama wanajeshi wa nchi A na upande wa pili wanasimama wanajeshi wa nchi B halafu mashine zinaanza kuunguruma pale.
Yeah kweliKama una kisanga nyumbani, kuna miti fulani hivi ulikuwa unachana tawi lake ili usiadhibiwe
Mkuu hunitakii mema aisee.Ngoja wahusika waje wakupe bun ya milele hahahahahha
Mkuu kwahy unasibitisha kifuu ukikifuka mweny kigugumiz awez kuongeaBinafsi nina kigugumizi. Siku moja utotoni mwangu, jamaa mmoja aliniudhi sana kwa kunitukania Mama yangu, basi tukapanga kupigana baada ya shule kwisha kwa ile siku. Tukaenda uchochoroni huku mie nikiwa na hasira ile mbaya, wapambe kibao walijaa kwani walikuwa wanajuwa mimi nikipigana lazima nimtoe ngebe mwenzangu, yaani sina msamaha hata kidogo na nilikuwa najulikana mpaka kuitwa 'Bud Spencer' enzi hizo. Wapambe wakachota mchanga na kutuambia tupute, nikaanza mimi kuputa...mwenzangu akawa anaogopa kwani alikuwa anajuwa muziki wangu au ni uwoga wake tu ulimzuia. Kwa kuwa nilikuwa na hasira sana, kigugumizi kikanishika na kuongea kumwambia jamaa apute mchanga siwezi. Kuangalia kando nikaona mpambe mmoja kashika kifuu anakifukia nikajuwa ni yeye ndiye kanifanya nishindwe kuongea. Ee bwana, nilimwacha yule jamaa niliyetaka kupigana naye na kumvamia mpambe, nilimtandika ile mbaya, nilimtwanga vichwa mpaka akapasuka midomo na kuvunja pua yake. Usiku nashangaa wanakuja yeye na Mama yake na polisi kuja kunikamata kunipeleka polisi. Nikaruka ukuta na kukimbilia Tandale kwa wahuni. Sikuonekana nyumbani wiki nzima kwani nilijuwa nakwenda kufungwa jela ya watoto.
Ni wew mwenyew mkuu ila ujakosea sana wahaya ni watan zang mim ni babu yaoMkuu hunitakii mema aisee.
pamoja sana MkuuNi wew mwenyew mkuu ila ujakosea sana wahaya ni watan zang mim ni babu yao
daaa mkuuu mbavuuu zanguu
Mkuu kwahy unasibitisha kifuu ukikifuka mweny kigugumiz awez kuongea
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Niliaminishwa kuuwa nikikojoa sehemu alipokojoa mwenzagu basi matiti ya mama yangu yatakatika [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni kweli wakuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Iyo namba 11 mother kanidanganya sana, nakumbuk ilivyo karibia kujifungua mdogo wangu aliniaga kuwa anaenda kununua mtoto hospital.
Nikaamin ivo, baada siku kadhaa akaja na kadogo kangu ka kike nikamwambia Mama umechagua katoto kazuri alicheka sanaa
bilashaka leo wewe ndiye Scorpion!Binafsi nina kigugumizi. Siku moja utotoni mwangu, jamaa mmoja aliniudhi sana kwa kunitukania Mama yangu, basi tukapanga kupigana baada ya shule kwisha kwa ile siku. Tukaenda uchochoroni huku mie nikiwa na hasira ile mbaya, wapambe kibao walijaa kwani walikuwa wanajuwa mimi nikipigana lazima nimtoe ngebe mwenzangu, yaani sina msamaha hata kidogo na nilikuwa najulikana mpaka kuitwa 'Bud Spencer' enzi hizo. Wapambe wakachota mchanga na kutuambia tupute, nikaanza mimi kuputa...mwenzangu akawa anaogopa kwani alikuwa anajuwa muziki wangu au ni uwoga wake tu ulimzuia. Kwa kuwa nilikuwa na hasira sana, kigugumizi kikanishika na kuongea kumwambia jamaa apute mchanga siwezi. Kuangalia kando nikaona mpambe mmoja kashika kifuu anakifukia nikajuwa ni yeye ndiye kanifanya nishindwe kuongea. Ee bwana, nilimwacha yule jamaa niliyetaka kupigana naye na kumvamia mpambe, nilimtandika ile mbaya, nilimtwanga vichwa mpaka akapasuka midomo na kuvunja pua yake. Usiku nashangaa wanakuja yeye na Mama yake na polisi kuja kunikamata kunipeleka polisi. Nikaruka ukuta na kukimbilia Tandale kwa wahuni. Sikuonekana nyumbani wiki nzima kwani nilijuwa nakwenda kufungwa jela ya watoto.