Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Hapo ndipo walipo rogwa hawa dadazetukumsamehe utamsamehe tu nakwambia labda hamkuoana lakini kuishi nae hilo uamuzi inategemea na mtu....upande mwingine wa shillingi hivi mwanamke katoka mbio miezi hata mitatu hujui yuko wapi akirudi anasamehewa na mumewe? Wapi? Tena utamkuta mwingne kashaolewa fasta! Hapo ndo huwa sielewi double standard imekaaje!