hahahaaaa, hii nayo kali..Mtoto anamuomba baba yake,naomba hiyo glass hapo juu,baba akajibu sitaki njoo mwenyewe
mtoto;si unichukulie mara moja tu,baba akajibu ntakuja kukuchapa emb njoo mwenyewe,mtoto akajibu basi ukija kunchapa uje na glass.....
Mtoto anamuomba baba yake,naomba hiyo glass hapo juu,baba akajibu sitaki njoo mwenyewe
mtoto;si unichukulie mara moja tu,baba akajibu ntakuja kukuchapa emb njoo mwenyewe,mtoto akajibu basi ukija kunchapa uje na glass.....
aisee hii imesima.....:lol::lol::lol:😛oa😛oaMtoto anamuomba baba yake,naomba hiyo glass hapo juu,baba akajibu sitaki njoo mwenyewe
mtoto;si unichukulie mara moja tu,baba akajibu ntakuja kukuchapa emb njoo mwenyewe,mtoto akajibu basi ukija kunchapa uje na glass.....
Asante sana mkali umetishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! jokes of the week
Mtoto anamuomba baba yake,naomba hiyo glass hapo juu,baba akajibu sitaki njoo mwenyewe
mtoto;si unichukulie mara moja tu,baba akajibu ntakuja kukuchapa emb njoo mwenyewe,mtoto akajibu basi ukija kunchapa uje na glass.....
wakusoma msuli penseli
kweli uvivu ni kipaji, nina marafiki zangu enzi hizo wanaishi gheto moja panya alifia ndani. Kila siku wakirudi jioni wanapanga kesho asubuhi waamke mapema ili wautupe mzoga lakini ikifika asubuhi kila moja anawahi kazini. Panya alioza akanuka mpaka harufu ikaisha.