kweli usingizi hauna adabu!

Walivyolala wamenikumbusha mbali sana, Jamaa mmoja alipitiwa na usingizi tukiwa kwenye seminar wacha ajambeee kwa sauti.Watu wote haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kulala ni dalili ya kutokuwa na hamu ya kusikiliza kinachozungumzwa. Museveni amechokwa jamani siyo utani.
 
xvU2FvBXmAqIgAAAABJRU5ErkJggg==
shuwa usingiz hauna adabu unaweza ukajamba kwa sauti huku ukiwa una sikiliza hotuba ya mheshimiwa huku ukiwa ume tandika ucingiz wanguuuuuuuuuuuuuuvuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom