Nasikiliza hapa redio ya wafu,,
Daaah uyu dj wa uyu msanii anaojiwa kasema kaambiwa akija apa lazma arudi na tanzanite rock..
Hehehe njoo ujichimbie,,ni wewe tu na kijiko chako
Atapewa zawadi tu sio jiwe hata akitaka mgodi,serikali wana jibu maombi ya "wawekezaji wa nje"wakimemo wazungu wakisema tu naomba mgodi wanapewa faster wakaazi watahamishwa kwa mabomu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.