Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Kuna kapo ofisin hapa,jamaa ameoa,tena mke wake mrembo vbaya mno,ila jamaa kaanzisha mahusiano na bint hapa ofisin na wanapendana sana,huyu bint anajua jamaa kama kaoa,ila kwa jins bint alivyochanganyikiwa anamweka had status jamaa,picha nin na caption za mapenz kabisa
Jamaa linavaa pete kabisa
Sasa najiuliza huyu bint ni vip.nikwamba anapambana sana na hali yake ama nin
Huyu bint toka nmemfaham ,ni yuko desperate sana na kuolewa,kuna kipind mwanzon ilibak kdogo nimlambe ila bahat mbaya nilikua namlamba bint mwingne hapahapa ofisin kwahyo nikaona nipotezee ila alishafika had kwangu..sikumla lakin
Sasa najiuliza nikwamba wanaume tumeadimika sana ama nin
Uzi tayar
Jamaa linavaa pete kabisa
Sasa najiuliza huyu bint ni vip.nikwamba anapambana sana na hali yake ama nin
Huyu bint toka nmemfaham ,ni yuko desperate sana na kuolewa,kuna kipind mwanzon ilibak kdogo nimlambe ila bahat mbaya nilikua namlamba bint mwingne hapahapa ofisin kwahyo nikaona nipotezee ila alishafika had kwangu..sikumla lakin
Sasa najiuliza nikwamba wanaume tumeadimika sana ama nin
Uzi tayar