Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,933
Nipe no,ya huyo unae muita mke wako nimshauri kitu, inawezekana wewe hujitambui wala hujui wapi una kwenda upoupo tu kwa kifupi wewe ni________,
Kwanini unawakubalia badala ya kuwakatalia?
ukikua utaacha..
Shikamana na ibada na elewa kuwa uzinzi ni dhambi... Ibilisi ndiye anaekutia majaribuni na mwisho kabisa majuto ni mjukuu.... Utasema ningejua!
Wewe ndio hujitambui Mkuu, jamaa anahitaji ushauri ili aweze kuvuka majaribu anayopitia
Nipasie mmoja mkuu nikusaidie, kwanini upate tabu.
Hak
Hakuna mchamungu anayezini chief , hii either ni chai au unaoa tu muislam maana kuna tofauti kati ya muislam na mchamungu hata Allah aliwatenga hivyo.
Muislamu:
anaswali swala tano, anajistiri anatoa zaka na swadaka lakini makatazo ya Allah hayazingatii akidhani kwamba akifanya mema yatafuta yale mabaya anayofanya kumb3 anachanganya maji na mafuta.
Mchamungu:
kwa kifupi anafanya yoote anayofanya muislamu na anafuata makatazo ya mwenyezi mungu na anafanya mengi yanayomsogeza karibu kabisa na mwenyezi mungu .
Hope umeelewa now una date(kwenye uislamu hakuna ku date kama umempenda na unasifa za ndoa ya kiislamu ambazo ni simple sana oa sheria ipp hivyo) ,na mtu wa aina gani huyo hata kama ana bikra si kigezo cha yeye kuwa mchamungu .
Kingine hebu acha kumdhihaki allah mkuu, sawa wote tunafanya maovu either kwa kupenda au kutopenda ila hatutumii jina lake kwenye utopolo kama huu ulioandika .
No offence .
Hak
Hakuna mchamungu anayezini chief , hii either ni chai au unaoa tu muislam maana kuna tofauti kati ya muislam na mchamungu hata Allah aliwatenga hivyo.
Muislamu:
anaswali swala tano, anajistiri anatoa zaka na swadaka lakini makatazo ya Allah hayazingatii akidhani kwamba akifanya mema yatafuta yale mabaya anayofanya kumb3 anachanganya maji na mafuta.
Mchamungu:
kwa kifupi anafanya yoote anayofanya muislamu na anafuata makatazo ya mwenyezi mungu na anafanya mengi yanayomsogeza karibu kabisa na mwenyezi mungu .
Hope umeelewa now una date(kwenye uislamu hakuna ku date kama umempenda na unasifa za ndoa ya kiislamu ambazo ni simple sana oa sheria ipp hivyo) ,na mtu wa aina gani huyo hata kama ana bikra si kigezo cha yeye kuwa mchamungu .
Kingine hebu acha kumdhihaki allah mkuu, sawa wote tunafanya maovu either kwa kupenda au kutopenda ila hatutumii jina lake kwenye utopolo kama huu ulioandika .
No offence .
Mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Wauminiโ (24: 3).
Hope unajua kusoma
Sasa kama umeoa si uwaambie hao mademu zako wazamani ukweli, waambie wewe ni mme watu waache usumbufuCha kwanza kaka labd nikuambie tayar nmeshaoa pili nmeomba ushaur na sio km ninawafata na kingn kuhusu kuwa kubalia ni ile usumbufu umezd na sio km wengn hawajui km nimeoa wengn wanajua na uwezo wa kuchange line kisa mtu siwez ndio maan nikaleta hapa nifanye vp tenView attachment 1707342
Sasa kama umeoa si uwaambie hao mademu zako wazamani ukweli, waambie wewe ni mme watu waache usumbufu
Sasa kama umeoa si uwaambie hao mademu zako wazamani ukweli, waambie wewe ni mme watu waache usumbufu
Hii ndio itakuwa dawa aseee..!
Hongera kwa kuoa chief niliandika vile kwa sababu maelezo yako hayakuwa yamejitosheleza ,inshaallah mwenyezi mungu awaongozeni nyote .Cha kwanza kaka labd nikuambie tayar nmeshaoa pili nmeomba ushaur na sio km ninawafata na kingn kuhusu kuwa kubalia ni ile usumbufu umezd na sio km wengn hawajui km nimeoa wengn wanajua na uwezo wa kuchange line kisa mtu siwez ndio maan nikaleta hapa nifanye vp tenView attachment 1707342
Kozi ya nini tena jamani!??? Watu wa levo kubwa kama yako huwa hawalalamikii vitu vidogo kama hivi, badala yake wanawaajiri vijana watatu wanne wa digrii ama mastaz ili kuwasaidia kuhendo simu zao. Nikutumie namba za broka!??? Au ndiyo nako utakuwa bize ushindwe kufanya mchakato!??? ๐ ๐ ๐Inabidi kuwe na kozi maalumu ya kuwafundisha new members uandishi
Tunapata tabu sana kusoma jamani
ova
Hongera kwa kuoa chief niliandika vile kwa sababu maelezo yako hayakuwa yamejitosheleza ,inshaallah mwenyezi mungu awaongozeni nyote .
tukirudi kwenye mada husika ,kwanza jua kwamba ulipofunga ndoa sio kwamba ndo umewapunguza hakuna kitu kinawavuta wanawake kama akiona unaoa direct au akiona pete ya ndoa kwenye kidole maana anajua kwamba unajua kutunza na upo matured .
Hivyo cha kwanza kabisa endelea kuomba mungu akuepushe nao na pia tumia busara tu kuwa na maamuzi na msimamo binafsi kama unaona kuwa block bado inakuwa ngumu .
Currency, BTC or stocks?Kozi ya nini tena jamani!??? Watu wa levo kubwa kama yako huwa hawalalamikii vitu vidogo kama hivi, badala yake wanawaajiri vijana watatu wanne wa digrii ama mastaz ili kuwasaidia kuhendo simu zao. Nikutumie namba za broka!??? Au ndiyo nako utakuwa bize ushindwe kufanya mchakato!??? ๐ ๐ ๐
[emoji3][emoji3] we jamaa ni chengaNiaj wakuu,
Kuna jambo moja la ajabu sana japo wanasema wanaume tumeumbiwa tamaa lakin nikisema niendekeze hii tabia mwisho wake mbaya kipind cha nyuma kwel nilikuw chovya chovya sana nakumbuka kuna siku mwaka jana mwanzon kabisa nikaamua kuomba dua Allah anijalie mwanamk mzur mchamungu kwel bhas Lahaullah nikapata mtoto mmoja mzur sana mrembo haswaa mtoto mweupeee hawez kutembea kichwa wazi na kizur zaid ambacho nilikipenda kwake alikuwa BIKRA kwahy tukacunja nazi japo nilimuahid lazima nikuoe bhas na mm sikuona hajizi nikaend kujitambulisha kwao na kutoa mahar tayari kabisa nikajiapiza nitulie tuli niachane na michepuko sas naona hii 2much wanajileta sana km siku ya leo madem watatu wameomba appointment ya kuniona nikawajuza kwangu kuna mgen ambae ndio huyu mwanamke wangu kwahy siwez mmoja ni mwanachuo kamaliza mitihan jana kwahy akaniambia jmos lazima ni mgegede mwingin kanipigia simu asbh yupo uhasibu kaniambia atakuja sa2 ya usiku na watatu yupo anaishi kigambon ndio kanipigia simu saiv ananiambia anajianda akiwa tayar atanijuza na mwingin ni nesi muhimbili aliniahid kesho jumapili atakuw off ili nimpe DUSHELELE na wote nimewaambia ninamgeni kwangu kwahy wamekubali twende lodge lkn kila nikimuangalia mwanamke wangu ni mpole mchamungu kwel anaswali swala 5 roho inanisuta sana japo nimewakubalia wote kwa siku ya leo lkn roho inanisuta na kuzodoa nakiri kusema sijawai pata mwanamke wa aina hii sihitaj itoke siku nije nimkwaze namuheshimu sana sas najiuliza haya mambo niyakwepe vipi najitahid sana mpk mda mwingne nasema Allah aniondole tamaa kabisaaa nisije kutaman mwanamke yoyt lkn ndio wanajileta wenyew maex zangu wawili mmoja nae yupo arusha kila akinipgia simu ananiambia ww hata km unamwanamk wako lkn nikja dar siwez kukubania sina nguvu za kukunyima lazima tupashe kiporo sas najiuliza haya mambo ni yakwepe vipi japo nakuwa smart sana ila kuhusu kuwa handsome hilo mm silijui sas najiuliza nn shida mpk inafika kipind kaka angu na washkaj wananiambia ninadawa ya kuwavuta wanawake sijui nifanye vipi wanawake wasijilete ovyo ovyo au kujirahisisha kwangu ninaeza nikakutana na mwanamke hv leo kesho nikamuita geto nikamla had ananiambia โsijui hapa kwako nmefikaje fikaje kirahisi hv mm sijawai kuwa namna hivโhii kauli nishaambiwa saaan na wanawake weng wakuu naomben ushaur hii kitu inatokana na nn au nifanyaje zaid ili haya mambo yasije kunitokea puani
KWA USHAURI ZAIDI NIPO TAYAR KUPOKEA[emoji1374]