Kweli sheria inamruhusu Rais kulivunja Bunge iwapo wabunge watakaa kuipitisha bajeti bungeni? Nini maana ya Bunge sasa?

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Hili ndilo biti walopigwa wabunge na Spika Ndugai. Akawatahadharisha kuwa watapoteza nafasi zao za uwakilishi kama wangekataa bajeti inayoruhusu uwepo wa tozo za kihuni.

Je, hekima gani ilitumika katika uwekaji wa sheria hiyo?
 
Back
Top Bottom