Kila siku najifunza, naanza kuamini juu ya UADILIFU wako wewe na DR hakika dhamira ilikusuta kwa kutoshriki kundi la...... Kweli, "Imani inazaa matendo".
Imani uliyonayo imejifunua katika tendo ulilolionyesha kujiondoa ktk kile ulichosema dhamira inakusuta.
Ahsante, tupo tunaokuelewa.