Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,526
Binafsi naona hili neno ni gumu sana kumwambia mwanamke kama actually sina upendo wa dhati kwake, Kiukweli toka nizaliwe hadi leo hii sijawahi kuwa na demu nikawa nimempenda Hadi Moyoni na kumfikiria kumuoa..
So napata ukakasi sana pindi ninapowahitaji hawa mabinti kwa ajili ya kudate now maana me ni mgumu sana kutamka neno nakupenda mbele ya msichana hali ya kuwa moyoni mwangu hayupo.. So naona kama naji-devalue mbele yake coz mwenywe najikubali sana, So sipendi kuyumbishwa..
Hadi Leo hii nimekuwa na mahusino ya kimapenzi na baadhi ya mabinti yaan kidizain ile charting chating mwisho wa siku tunajikuta tumeza inrelation...
Yaaah ndo hvyo yaan.. So vp ww gentlemen mwenzangu unawezaje kutongoza mademu kibao ukitumia hili neno "NAKUPENDA" hali ya kuwa wengine wao unawahitaji kwa sex tu..?
So napata ukakasi sana pindi ninapowahitaji hawa mabinti kwa ajili ya kudate now maana me ni mgumu sana kutamka neno nakupenda mbele ya msichana hali ya kuwa moyoni mwangu hayupo.. So naona kama naji-devalue mbele yake coz mwenywe najikubali sana, So sipendi kuyumbishwa..
Hadi Leo hii nimekuwa na mahusino ya kimapenzi na baadhi ya mabinti yaan kidizain ile charting chating mwisho wa siku tunajikuta tumeza inrelation...
Yaaah ndo hvyo yaan.. So vp ww gentlemen mwenzangu unawezaje kutongoza mademu kibao ukitumia hili neno "NAKUPENDA" hali ya kuwa wengine wao unawahitaji kwa sex tu..?