kweli nimeamini kama voda wana 7.2 mbps

kweli nimeamini kama voda wana 7.2 mbps

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
491
Reaction score
180
kweli nimeamini kama voda wana 7.2 mbps




Capture 1.PNG


Capture2.PNG
 
lakini Bi. Fatma huja-specify ni Voda ya wapi, huenda sio Tz? mie kwangu ka-modem kao kanakata network kama hakana akili nzuri tangia juzi. huenda package zetu ndio wanahamisha na wanakupeni nyie?? duh..kaz kwelikweli.
 
lakini Bi. Fatma huja-specify ni Voda ya wapi, huenda sio Tz? mie kwangu ka-modem kao kanakata network kama hakana akili nzuri tangia juzi. huenda package zetu ndio wanahamisha na wanakupeni nyie?? duh..kaz kwelikweli.


ni voda ya hapa hapa mjini dar unajua inaokana na maeneo sehemu nyengine inapatikana vizuri sehemu nyengine ovyo
 
Voda ndo mwisho wa maneno haina mpinzani nashusha madude kama sina akili nzuri
 
Hiyo eneo upo inawezekana ni wewe tu mwenye kutumia data, wengine wote ni voice call na sms
 
kwa voda bado sijashawishika. speed zinapanda kweli ila inakata ghafla, inapanda tena kisha inashuka. very annoying
 
Back
Top Bottom