Kweli naamini Rais anapitia hapa JF

Kweli naamini Rais anapitia hapa JF

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
2,175
Reaction score
4,179
Tokea nilipotoa ilani asiwe anapokea mic na kuzungumza wakati wa ziara ili kuepuka vituko vilivyotokea alipotembelea Hospitali, maana vile ni vituko vya mwaka, alimaka alipoambiwa hapa panazalishwa watoto mia nane kwa mwezi na alipowaita walinzi watoke ndani ya chumba cha wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, japo haichushi lakini nilisema sio sahihi kila analolisema liwepo kwenye sauti, kwa ufupi awachane na kutembea na vyombo vya habari visiweza kukwepesha mambo yasio ya kawaida, mfano kusema, kukohoa kujikuna, sasa naona vyombo vimewekwa pembeni
 
Watakuja na kale kamchezo cha
Tupiamo hata kapicha ili tuone kweli hakufuatwa na vyombo vya habari

Kingine ni kua
Wewe umejuaje kua ameachana na hilo?
Hebu thibitisha unachokisema!
 
Tokea nilipotoa ilani asiwe anapokea mic na kuzungumza wakati wa ziara ili kuepuka vituko vilivyotokea alipotembelea Hospitali, maana vile ni vituko vya mwaka, alimaka alipoambiwa hapa panazalishwa watoto mia nane kwa mwezi na alipowaita walinzi watoke ndani ya chumba cha wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, japo haichushi lakini nilisema sio sahihi kila analolisema liwepo kwenye sauti, kwa ufupi awachane na kutembea na vyombo vya habari visiweza kukwepesha mambo yasio ya kawaida, mfano kusema, kukohoa kujikuna, sasa naona vyombo vimewekwa pembeni
Tupe uzi wa kwanza tuunganishe dots
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom