Hii ni uongo mchana kweupe, kwa muonekano tu ni kuwa jamaa amepoteza kama 30% ya ubongo wake, sasa munataka kusema binaadamu anaishi bila ubongo? Na kwa eneo ambalo linatatizo kwa huyu jamaa basi hataweza kutumia miguu, mikono, hatahisi kwa ulimi e.t.c... Photoshop