Kweli Mo anaichezea Simba

Kweli Mo anaichezea Simba

Ameeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!

Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba

Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba

Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka

Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana

Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?

Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa

Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Wekeza simba elfu 80 kama unazo mzee kilomoni
 
Ameeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!

Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba

Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba

Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka

Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana

Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?

Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa

Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Mo anaidai simba, anavyo sajili na kutoa bonas klabu haina uwezo wa kulipa kwaiyo wanakatana juu kwa juu na viongozi wanafahamu. Mo anatoa pesa lakin klabu inalipia kwa matangazo ya bidhaa zake sasa kunashida gan? Dunia ya sasa hakuna cha bure
 
Jamaa katoka kusikiliza clouds wanavojadili huku wao wakiwa hawajui chochote kinachoendelea, . hahahaha!! Kazi tunayo kwakweli , tafuteni source zenye uhakika na sio manenomaneno yasio na ukweli wowote!!
Ndio shida ya hii nchi kila mtu anajifanya mjuaji kwa kila kitu ni tatizo kubwa.
 
Ama kweli wivu hauchagui baya wala zuri! Ivi tumewaonea wivu yanga kwa style yao ya kuendesha club kwa kupitisha bakuli!!
 
Baadaye mtamuelewa mzee Kilomoni,msimu uliopita mlisaini na MO energy mil 250,mkatuambia mnaenda kujenga uwanja wa mazoezi,ila mbumbumbu fc mmesahau ahadi hiyo.

Siku moja mkipata ufahamu Mikia mtabaki midomo wazi maana hadi sasa kwa taarifa ya ndani MO anasema tayari ametumia billion 4
Wewe ndo huna ufahamu na mleta mada mwenzio, hivi mil 250 inaweza kutosha kujenga uwanja wa kisasa wa kufanyia mazoezi.
Pili kabla ujapiga domo nenda saizi bunju uone kinachoendelea
 
Ndio hivyo kuna wajumbe wabodi upande wa club wanalalamika kuna maamuzi yanafanyika bila wao kushirikishwa
Mtaje huyo mjumbe ka kweli una uhakika,
Mwanaume usiwe mbeya na muongo hadi shetani anakushangaa.
Kwenye thread yako umesema nyie waelewa mnajua kila kitu saizi unasema kuna mjumbe wa bodi analalamika.
 
Wewe ndo huna ufahamu na mleta mada mwenzio, hivi mil 250 inaweza kutosha kujenga uwanja wa kisasa wa kufanyia mazoezi.
Pili kabla ujapiga domo nenda saizi bunju uone kinachoendelea
Umewahi fika eneo la uwanja wasimba???? Kuna kazi hata ya million 60? Au unakurupuka tu hata uwanja hujui ulipo
 
Umewahi fika eneo la uwanja wasimba???? Kuna kazi hata ya million 60? Au unakurupuka tu hata uwanja hujui ulipo
Mi nimekwambia nenda Leo ukaone kinachoendelea sio kupiga porojo.
Hivi simba ilikua na uwezo gani wa kifedha kufanya inayofanya saizi ka si uwekezaji wa MO.
 
Mi nimekwambia nenda Leo ukaone kinachoendelea sio kupiga porojo.
Hivi simba ilikua na uwezo gani wa kifedha kufanya inayofanya saizi ka si uwekezaji wa MO.
Endelea kushangilia baadaye utaelewa.

Kwaheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom