Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 344
- 579
Mkuu unamshauri atafute hela wakati huo huo na wewe ni mtumwa wa umarioo, kwanini huu ushauri usijipe wewe maana mwisho wa u marioo ni kumchezesha Manula kiungo.Ila wabongo dah! Badala ujitaftie hela uko bize kupiga chabo kwa visivyokuhusu