Mkuu,Hii siri hata mimi siijui.....unipe.ufafanuzi kidogo maana gari sio injini na body tu kuna vitu vingi.
1. Mfumo wa mafuta
2. Mfumo wa Umeme
3. Seats.
4. Tyres
5. Deaf
Na kupata Board ambayo ni nzima huku gari imeshakufxa njini ni mtiti mwingine.
Baada ya hapo. Gari ukisha assemble si unatakiw kwenda kuisajiri TRA, Kuikagua TBS? Je bado gharama ni hiyo hiyo?
Sawa nimekuelewa.Mkuu,
1. Mfumo wa mafuta ni ule ule
2. Mfumo wa umeme ni ule ule
3. Seats ni zile zile
4. Deaf pia ni ile,
Hapa ninachozungumzia ni kwamba hubadilishi muundo wa gari, bali unatafuta uimara wa gari (hasa upande wa engine), hata plate namba ya gari itabaki ile ile ya body la gari.
. Body zipo nyingi sana mkuu, ni wewe tu ukiwa tayari mambo yanakaa sawa.
Mkuu Jackpiano umeshawahi fanya kazi kampuni ta Tanzanice.🔁 Update:
Nimeona kuna mdau ameibuka na kejeli kuhusu uzi huu – akisema magari ya milioni 2 ni hadithi za kufugia kuku.
Ukweli ni huu: Sio kila mtu ameanza maisha na gari ya milioni 10. Wapo Watanzania wanaotafuta usafiri wao wa kuanzia kwa bajeti ya kawaida.
Magari kama Toyota Starlet, EE90, Suzuki Alto, March ya zamani – bado yapo barabarani. Yanaingia bar, yanapita Mlandizi hadi Chalinze, na wamiliki wao hawajutii.
Lengo la uzi huu sio kushindana na matajiri, ni kusaidia wale wanaotamani kuamka asubuhi kwenda kazini bila kuteseka na mvua au foleni.
Kama una uzoefu wowote wa kweli na gari la bei ya chini, endelea kuchangia – maana ndoto kubwa huanza na hatua ndogo. 🚗💪
Hapana mkuu, sijawahi fanya kazi Tanzanice lakini jina la JackPiano ninapenda sana miziki ya piano. Labda tukio la huyo jamaa linafanana na mimi kwa bahati tuMkuu Jackpiano umeshawahi fanya kazi kampuni ta Tanzanice.
Nina jamaa angu mmoja anaitwa Jack amewahi fanya kazi kampuni hiyo na anapiga sana Piano - hata kwenye simu nimesave JackPiano.
Sawa mkuu.Hapana mkuu, sijawahi fanya kazi Tanzanice lakini jina la JackPiano ninapenda sana miziki ya piano. Labda tukio la huyo jamaa linafanana na mimi kwa bahati tu
Ndiyo, magari ya milioni 2 yapo, hasa yale ya zamani like:Don't worry ma men turudi kwenye mada sasa tupate ukweli
kwa hapo gari ni corolla tu🔥 KWELI KUNA MAGARI YANAYOUZWA HADI MILIONI 2? Hebu Tujadili Wadau! 🔧🚗
Wakuu habari zenu,
Nimekuwa nikifuatilia matangazo ya magari hapa JF na pia Instagram, nikaona baadhi ya magari yanatajwa kuwa yanauzwa kuanzia milioni 1.5 hadi milioni 2. Swali langu ni moja tu:
👉 KWELI kuna magari ya kueleweka, yanayoweza kutembea, kwa bei ya milioni 2 au chini ya hapo? Au hizi ni porojo za matangazo tu?
Kwa mfano nimesikia magari kama:
Toyota Starlet ya zamani
Corolla EE90 au AE100 (ikiwa haipo vizuri)
Suzuki Alto
Daihatsu Mira
Nissan March
Na mengine ya aina hiyo…
Maswali ya kuzingatia:
1. Kwa anayejua magari: Ni magari gani mtu anaweza kupata kwa milioni 2 na bado akaweza kuyategemea kwa matumizi ya kila siku?
2. Je, upatikanaji wa spea ni rahisi kwa magari ya bei hiyo?
3. Gari la milioni 2 linahitaji matengenezo ya kiasi gani ili liwe “roadworthy”?
4. Ni bora kununua gari la bei hiyo au kuongeza hadi milioni 3–4 ili kupata kitu cha kueleweka zaidi?
5. Kwa mtu wa matumizi ya kawaida (labda boda aliyeupgrade au mwalimu), ni ushauri gani ungempa kuhusu magari ya bei hizi?
6. Je, ununue gari dogo la bei rahisi au uanze na bajaji au pikipiki yenye matumizi madogo ya mafuta?
Bonus: Kama una uzoefu
Tafadhali weka picha ya gari lako kama ulilinunua kwa bei ya chini, na utuambie:
Ulilinunua lini?
Kwa bei gani?
Changamoto gani ulizokutana nazo?
Umeridhika nalo?
🎯 Lengo la uzi huu ni kusaidiana. Sio kila mtu ana uwezo wa milioni 10 ya kununua gari, lakini kuna watu wana ndoto ya kuwa na usafiri wao binafsi, hata kama ni gari dogo, la zamani au la kawaida kabisa.
Karibuni wote, hasa mafundi, madalali wa magari, na wamiliki wa magari ya bei nafuu
Mkuu shuhuda ni mm hapa..nilinunua premio old Kwa 2m..nikaweka 1.4m gari ikatoka mpya kabisa..nikaitest kama ni nzima kutoka Dom to mwanza na kurudi dom..chuma nzima balaa mpaka Leo ninayo safari popote..🔥 KWELI KUNA MAGARI YANAYOUZWA HADI MILIONI 2? Hebu Tujadili Wadau! 🔧🚗
Wakuu habari zenu,
Nimekuwa nikifuatilia matangazo ya magari hapa JF na pia Instagram, nikaona baadhi ya magari yanatajwa kuwa yanauzwa kuanzia milioni 1.5 hadi milioni 2. Swali langu ni moja tu:
👉 KWELI kuna magari ya kueleweka, yanayoweza kutembea, kwa bei ya milioni 2 au chini ya hapo? Au hizi ni porojo za matangazo tu?
Kwa mfano nimesikia magari kama:
Toyota Starlet ya zamani
Corolla EE90 au AE100 (ikiwa haipo vizuri)
Suzuki Alto
Daihatsu Mira
Nissan March
Na mengine ya aina hiyo…
Maswali ya kuzingatia:
1. Kwa anayejua magari: Ni magari gani mtu anaweza kupata kwa milioni 2 na bado akaweza kuyategemea kwa matumizi ya kila siku?
2. Je, upatikanaji wa spea ni rahisi kwa magari ya bei hiyo?
3. Gari la milioni 2 linahitaji matengenezo ya kiasi gani ili liwe “roadworthy”?
4. Ni bora kununua gari la bei hiyo au kuongeza hadi milioni 3–4 ili kupata kitu cha kueleweka zaidi?
5. Kwa mtu wa matumizi ya kawaida (labda boda aliyeupgrade au mwalimu), ni ushauri gani ungempa kuhusu magari ya bei hizi?
6. Je, ununue gari dogo la bei rahisi au uanze na bajaji au pikipiki yenye matumizi madogo ya mafuta?
Bonus: Kama una uzoefu
Tafadhali weka picha ya gari lako kama ulilinunua kwa bei ya chini, na utuambie:
Ulilinunua lini?
Kwa bei gani?
Changamoto gani ulizokutana nazo?
Umeridhika nalo?
🎯 Lengo la uzi huu ni kusaidiana. Sio kila mtu ana uwezo wa milioni 10 ya kununua gari, lakini kuna watu wana ndoto ya kuwa na usafiri wao binafsi, hata kama ni gari dogo, la zamani au la kawaida kabisa.
Karibuni wote, hasa mafundi, madalali wa magari, na wamiliki wa magari ya bei nafuu
Unyama sana maan kuna watu ujuaji mwingi sana umuMkuu shuhuda ni mm hapa..nilinunua premio old Kwa 2m..nikaweka 1.4m gari ikatoka mpya kabisa..nikaitest kama ni nzima kutoka Dom to mwanza na kurudi dom..chuma nzima balaa mpaka Leo ninayo safari popote..
Mkuu usisikilize watu ...changamoto nyingi za gari ni watu kutojali muda wa kurepair..mfano brake fluid imeisha ww hurekebeshi unaendelea hivyo mwisho inasimama..unakuta ni matatizo madogo madogo tu lakini hizi gari za zamani ni nzuri sanaUnyama sana maan kuna watu ujuaji mwingi sana umu