Kweli kifo hakikwepeki,soma hapa!!

Joined
Apr 2, 2012
Posts
9
Reaction score
1
Jamaa katembelewa na Israel mtoa roho za watu,akamwambia leo ndio zamu yako nimekuja kukutoa roho.Jamaa kamkaribisha vizuri,kampa chakula na kinywaji ambacho aliweka dawa ya ucngizi.Israel alipolala jamaa akakata jina lake lilikua mwanzoni mwa list ya majina akaliandika mwishoni.Israel alipoamka akamwambia,"rafiki yangu umenitendea wema sana,hvyo nimeona bora nianze na jina la mwisho ili wewe uendelee kuishi"jamaa kabaki hoi
 
wambisho atakuwa wa kwanza na kinyume chake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…