tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Katika hali isiyokuwa ya kawaida , rais barrack obama alishikwa na mshangao pale alipomtamkia barrack obama katika hotuba yake kwamba , " wapo tayari kushirikiana katika mambo yote ambayo wamekubaliana na kutiliana saini, lakini sio mapenzi ya jinsia moja hilo hatupotayali na hatulikubali kabisa kabisa, kauli hiyo ya kenyatta ilimfanya obama kufuta ajenda yake iyo ingawa ilikuwa miongoni mwa ajenda alizo kuja nazo